SIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL TANZANIA YAFANA DAR
WITO umetolewa kwa wafanyakazi nchini kushiriki michezo kwani kwa
kufanya hivyo kutaweza kuimairisha afya zao hivyo kuongeza ufanisi
mahali pao pa kazi.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya
Simu za Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, Jane Matinde wakati wa
bonanza la kila mwaka la siku ya wanafamilia wa kampuni hiyo.
Bi Jane alisema michezo ni kichocheo muhimu katika afya ya mwili na
akili hivyo endapo wafanyakazi watashiriki katika shughuli za michezo
kutaifanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLSIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL YAFANA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-auM-MzvU6Jg/VCll--r9VhI/AAAAAAACr0k/BrH5-ZFmx3Q/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA WANAFAMILIA LA AIRTEL LAFANA FUN CITY WEEKEND
![](http://1.bp.blogspot.com/-auM-MzvU6Jg/VCll--r9VhI/AAAAAAACr0k/BrH5-ZFmx3Q/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pcBwilRmg6g/VClmVmtpfLI/AAAAAAACr1E/N75TY9ohMwA/s1600/6.jpg)
(kushoto), Mshindi wa Kwanza, Abdallah Gunda, Mshindi wa Pili, Jackson
Mmbando na Mshindi wa Tatu, Kema Mabango
![](http://3.bp.blogspot.com/-iSk6ALVZYlA/VClmID01bhI/AAAAAAACr00/YZ8fdLDO-gA/s1600/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9TLQXetNjc/VmaoYTxO10I/AAAAAAAAwB8/Zp55IZDxSiU/s72-c/DSCF0335.jpg)
SIKU YA FAMILIA YA GAPCO TANZANIA YAFANA SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9TLQXetNjc/VmaoYTxO10I/AAAAAAAAwB8/Zp55IZDxSiU/s640/DSCF0335.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZIeRSeZNaXo/VmaoY2tmiII/AAAAAAAAwCI/TTPeowYMDg4/s640/DSCF9687.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QYeO8E-iGU0/VmaoXte5d8I/AAAAAAAAwBo/IpXZzeulC00/s640/DSCF0252.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZoC0GtRwOvs/VDae6ha8ilI/AAAAAAAAMSQ/vfq7v-lTxyA/s72-c/Prof%2BJohn%2BNkoma%2BWPD%2B2014.jpg)
MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI YAFANA JIJINI DAR LEO
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St Mary's ya Mazinde Juu iliyopo mkoani Tanga wameibuka vinara wa shindano la uandishi wa barua lililoshirikisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini katika kuadhimisha siku ya posta duniani.
Shindano hilo la uandishi wa barua limeratibiwa na Shirika la Posta Tanzania kwa kushirikiana na umoja wa posta duniani.
Akizungumza Dar es saalam leo katika hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya posta duniani, Mkurugenzi Mkuu wa...
11 years ago
GPLMAADHIMISHO YA SIKU YA MAGEREZA NCHINI YAFANA CHUO CHA UKONGA DAR!
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII YAFANA USIKU WA KUAMKIA LEO MLIMANI CITY, DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cXJpHqZrdhM/U9tL_aizkNI/AAAAAAACmjQ/g6-DVqoKOn0/s72-c/DSC_2504.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na -WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-cXJpHqZrdhM/U9tL_aizkNI/AAAAAAACmjQ/g6-DVqoKOn0/s1600/DSC_2504.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PgbzcRJrPi0/U9tMBG7ngkI/AAAAAAACmjg/dEBoi_vhGfI/s1600/DSC_2516.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oQ3NJoIBhpo/U9tL_XiZjxI/AAAAAAACmjU/ZJIjQ0H2btg/s1600/FILE121.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yzK0e9vql0A/U9tObE4ERZI/AAAAAAACmoQ/eXs2pbOlqrw/s1600/FILE355.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RPa7cccGwpo/U9tOqGIvgCI/AAAAAAACmoo/7q4m6HaB15c/s1600/FILE369.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xi-xEc7InAA/U9tOWAyVaOI/AAAAAAACmoI/zqqJIR2WHl4/s1600/FILE361.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s72-c/DSC_0408.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
Octoba 11 ya kila mwaka ni siku iliyopitishwa na Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote. Maadhimisho haya yalifanyika katika Hoteli ya Double Tree, Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s1600/DSC_0408.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CB9c1GUQw-o/VDq95LqUyvI/AAAAAAAAEJk/qxbBtvnfIiA/s1600/DSC_0402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Rz1LUcs3g/VDq92TKnICI/AAAAAAAAEJc/jYBkEu6vvpk/s1600/DSC_0394.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Airtel Tanzania ni kampuni ya kwanza ya mawasiliano nchini kuingia mkataba wa ushirikiano na Apple
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi. Beatrice Singano Mallya (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati Kampuni ya Airtel kwa kushirikiana na Apple ilipofanya uzinduzi wa simu mpya ya iPhone 5s pamoja na ofa kabambe kwa wateja wa Airtel, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Ofa hiyo itawawezesha wateja wa Airtel kupata sms 5000, muda wa maongezi dakika 1500 pamoja na kifurushi cha internet cha 3GB. Wanaoshuhudia ni Meneja Masoko wa Airtel, Prisca Tembo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10