TAMASHA LA WANAFAMILIA LA AIRTEL LAFANA FUN CITY WEEKEND

Wafanyakazi wa kampuni ya Airtel Tanzania (kutoka kushoto), Kema Mabango, Abdallah Gunda na Jackson Mmbando wakishiriki katika shindano la kukuna nazi wakati wa Siku ya Wanafamilia ya Airtel, iliyofanyika katika viunga vya Fun City Kigamboni jijini Dar es salaam jana.
Washindi wa shindano la kukuna nazi wakishow love. Kutoka
(kushoto), Mshindi wa Kwanza, Abdallah Gunda, Mshindi wa Pili, Jackson
Mmbando na Mshindi wa Tatu, Kema Mabango Watoto wa wafanyakazi wa kampuni ya Airtel Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL YAFANA DAR
10 years ago
MichuziSIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL TANZANIA YAFANA DAR
kufanya hivyo kutaweza kuimairisha afya zao hivyo kuongeza ufanisi
mahali pao pa kazi.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya
Simu za Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, Jane Matinde wakati wa
bonanza la kila mwaka la siku ya wanafamilia wa kampuni hiyo.
Bi Jane alisema michezo ni kichocheo muhimu katika afya ya mwili na
akili hivyo endapo wafanyakazi watashiriki katika shughuli za michezo
kutaifanya...
10 years ago
Vijimambo
TAMASHA LA UTAMADUNI LAFANA JAPAN





9 years ago
CCM Blog
TAMASHA LA KRISMAS LAFANA DAR

Katika Tamasha hilo Mheshimiwa Nape alisema kuwa Serikali inatambua juhudi za Wasanii na kuahidi kila msanii atapata stahiki yake anayotakiwa kupata.
Nape ambaye alimuwakilisha Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu ,alielezea...
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Tamasha la "Together At Home" lafana sana Marekani
10 years ago
Michuzi.jpg)
TAMASHA LA KUMUENZI MZEE KAWAWA LAFANA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPL
TAMASHA LA KUZINDUA VIDEO YA MUUNGANO LAFANA MJINI DODOMA
11 years ago
GPL
TAMASHA LA KRISMASI LAFANA UWANJA WA TAIFA, JIJINI DAR