Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA UTAMADUNI LAFANA JAPAN

Mtanzania Jumanne akiwa na familia yake walipohudhuria tamasha la utamaduni lililofanyia kuanzia May 9 mpaka May 10 katika viwanja vilivyopo Machida, Tokyo nchini Japan na kushirikisha nchi mbalimbali kuonyesha tamaduni zao ikiwemo mavazi. vyakula na mambo mengine mengi yahusuyo utamaduni.Mtanzania Shaban akiwa na mama mwenye nyumba wake walipohudhuria maonesho hayo.Kikundi cha Tinga tinga toka Tanzania nao wakionyesha michoro yao.Moja ya familia ya Kitanzania ikihudhuria tamasha hilo.Wadau...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CCM Blog

TAMASHA LA KRISMAS LAFANA DAR

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiinua CD juu kama ishara ya uzinduzi wa album ya kundi la muziki wa kwaya la Wakorinto wa Pili kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee kwenye Tamasha la Chrismas lililoandaliwa na kampuni ya Msama Promotions.
 Katika Tamasha hilo Mheshimiwa Nape alisema kuwa Serikali inatambua juhudi za Wasanii na kuahidi kila msanii atapata stahiki yake anayotakiwa kupata.
 Nape ambaye alimuwakilisha Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu ,alielezea...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tamasha la "Together At Home" lafana sana Marekani

Mwanamuziki wa Marekani Lady Gaga afanikisha tamasha la Together At Home.

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUMUENZI MZEE KAWAWA LAFANA

 Wachezaji  Bao nguli hapa nchini wakioneshana ubingwa katika Tamasha la Kumuenzi aliekuwa Mlezi wa Mchezo huo Hayati  Rashidi Mfaume Kawawa. Rais wa Chama cha Mchezo wa Bao mchini Bw Mandei Likwepa akionesha moja ya barua kwa waandishi wa habari hawapo pichani iliyo andika na aliekuwa Mlezi wa Mchezo huo Hayati  Rashidi Mfaume Kawawa enzi za uhai wake.

 Mfanya biashara maarufu nchini Bw Mohamed Sharifu akiongea jambo mbele ya wanahabari, wapenzi na wachezaji wa mchezo wa Bao walioudhuria...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO

 Wasanii wa Hip hop katika anga ya muziki wa Bongofleva,Faridi Kubanda a.k.a Fid Q pamoja na Stamina wakilishambulia jukwaa kwenye tamasha la wazi la Tuo8January,hapo jana katika viwanja vya sabasaba mjini Morogoro.
Tuo8January ni kampeni maalum iliyozinduliwa hivi karibuni ikiwa na lengo la kuwahamasisha vijana kujitokeza kushiriki mchakato wa uchaguzi  wa viongozi mbalimbali wanaowataka na wanaowaamini wana uwezo wa kuleta mabadiliko ya kinidhamu kwenye masuala ya msingi ya Taifa ...

 

9 years ago

GPL

TAMASHA KUOMBEA AMANI LAFANA UWANJA WA TAIFA DAR

Mama Salma Kikwete akizungumza na wananchi muda mfupi baada ya uzinduzi wa albamu hiyo. Mgeni rasmi katika tamasha hilo, Mama Salma Kikwete akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa filamu ya Bonny Mwaitege, iitwayo ‘Tunapendwa na Mungu’. Kulia ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama.
Mwimbaji wa…

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MTOTO KIKE LAFANA, LATOA KAULI NZITO

Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Kike Duniani Mkurugenzi wa watoto kutoka Wizara ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Margaret Sawe Mussai akiwaasa watoto wa kike kuzingatia elimu kwani ndio nguzo ya msingi katika maisha yao wakati w siku ya Mtoto wa Kike Duniani iliyofanyika katika viwanja vya shule ya Tandale jijini Dar. (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).Na Mwandishi wetuWAKATI serikali imekiri kwamba pamoja na kuwa na sheria kali za kuzuia ukatili kwa watoto bado kuna...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA KRISMASI LAFANA UWANJA WA JAMHURI, MOROGORO‏

Mwimbaji Edson Mwasabwite akifanya vitu vyake mbele ya mashabiki wake wakati akitumbuiza kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana jioni.   Boniface Mwaitege naye akawanyanyua kwenye viti mashabiki waliojitokeza kushuhudia tamasha hilo.…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA KUZINDUA VIDEO YA MUUNGANO LAFANA MJINI DODOMA

Msanii wa mziki alietokea EBSS, Menina na Rachael wakifatilia uzinduzi.
Mwanamziki wa Twanga Pepeta, Kalala Junior (katikati) na Kapteni Komba (kulia).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani