TAMASHA LA MTOTO KIKE LAFANA, LATOA KAULI NZITO
Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Kike Duniani Mkurugenzi wa watoto kutoka Wizara ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Margaret Sawe Mussai akiwaasa watoto wa kike kuzingatia elimu kwani ndio nguzo ya msingi katika maisha yao wakati w siku ya Mtoto wa Kike Duniani iliyofanyika katika viwanja vya shule ya Tandale jijini Dar. (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).Na Mwandishi wetuWAKATI serikali imekiri kwamba pamoja na kuwa na sheria kali za kuzuia ukatili kwa watoto bado kuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLTAMASHA LA MTOTO KIKE LAFANA, LATOA KAULI NZITO
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Kigoda atoa kauli nzito
NA REHEMA MAIGALA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda amewataka wajasiriamali wanaoanza biashara zao wasiwe wanalipishwa kodi mpaka baada ya miaka mitatu. Amesema kuwalipisha kodi wajasiriamali hao kunasababisha biashara zao kutoendelea na kutofikia malengo waliyojiwekea katika uendelevu wa biashara na maendeleo kwa jumla. Akizungumza na Uhuru jana jijini Dar es Salaam, Dk. Kigoda alisema kuwalipisha kodi wajasiriamali ambao ndio kwanza wanaanza, kunawaharibia malengo yao....
9 years ago
Habarileo17 Oct
Mufti Zanzibar atoa kauli nzito
VIONGOZI wa dini wa madhehebu mbalimbali Zanzibar, wamewataka viongozi wa vyama vya siasa ikiwemo wagombea wa nafasi ya urais, kukubali na kuheshimu matokeo yatakayotangazwa na taasisi husika.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TExAH774p4DhgHgntCP6q5DV3IwG*9QqXWn2gYRzPDNHraAK-SwHEX5LV7bDtC-xWkevHhNp9BlAq9zvrW7LPpR/julioooooooooo.jpg?width=650)
DUU! JULIO ATOA KAULI NZITO
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Jaji Bomani atoa kauli nzito Bunge la Katiba
Jaji mstaafu Mark Bomani.
Na Mwandishi wetu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Jaji mstaafu Mark Bomani, amesema Tanzania haitapata Katiba mpya hivi sasa huku akionya kwamba, amani ya nchi itavunjika iwapo jambo hilo litalazimishwa.
Kauli ya mkongwe huyo wa sheria, imekuja wakati tayari wajumbe wa Bunge maalum la Katiba, wamegawanyika pande mbili, wapo wanaotaka serikali mbili na wengine wanaosisitiza serikali tatu.
Mgawanyiko huo, uliibuka wakati wa kujadili muundo wa serikali,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BqzKVV3BFqk/VVibnSVL4mI/AAAAAAADnHI/2d6E5n39-9Q/s72-c/809fb6a7a08db0654eda84193eeef8f9.jpg)
TAMASHA LA UTAMADUNI LAFANA JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-BqzKVV3BFqk/VVibnSVL4mI/AAAAAAADnHI/2d6E5n39-9Q/s640/809fb6a7a08db0654eda84193eeef8f9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IXEn3Tx8_tY/VVibpRfWfQI/AAAAAAADnHg/NLd_oDMxq58/s640/da07f2b51a8057ed09195da54ef5c7f1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qukQ6PgeRvQ/VVibh-Q-MsI/AAAAAAADnFw/BjNlaNNXpkQ/s640/355d0cfb35ceb6544146b50cdde487a5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cuXJZBkOWdM/VViblGnEvEI/AAAAAAADnGk/LbWGX2rjgt0/s640/6d05ea98abc3fc838b8c86eb6141fb9f.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3XTJS8DknPI/VVibouOVZmI/AAAAAAADnHU/yVsonsFAKRk/s640/9008c1eafaa8d2792bf824f331974b2d.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-LRCaj9JSc1A/Vn2OFErzuMI/AAAAAAAAsno/Xuv0ZDXaAYA/s72-c/18.jpg)
TAMASHA LA KRISMAS LAFANA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-LRCaj9JSc1A/Vn2OFErzuMI/AAAAAAAAsno/Xuv0ZDXaAYA/s640/18.jpg)
Katika Tamasha hilo Mheshimiwa Nape alisema kuwa Serikali inatambua juhudi za Wasanii na kuahidi kila msanii atapata stahiki yake anayotakiwa kupata.
Nape ambaye alimuwakilisha Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu ,alielezea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iF56t9LHBYY/VKhSTx5apaI/AAAAAAAG7EU/dKQENIYxgHg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TAMASHA LA KUMUENZI MZEE KAWAWA LAFANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-iF56t9LHBYY/VKhSTx5apaI/AAAAAAAG7EU/dKQENIYxgHg/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SDD_Nyo7ZTU/VKhSTfGTw3I/AAAAAAAG7EQ/4r43HT8FXi4/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OBEsMX-b3JQ/VKhSUAfO_1I/AAAAAAAG7EY/OTwA2AAZyBA/s1600/unnamed%2B(4).jpg)