TAMASHA LA KUMUENZI MZEE KAWAWA LAFANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-iF56t9LHBYY/VKhSTx5apaI/AAAAAAAG7EU/dKQENIYxgHg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Wachezaji Bao nguli hapa nchini wakioneshana ubingwa katika Tamasha la Kumuenzi aliekuwa Mlezi wa Mchezo huo Hayati Rashidi Mfaume Kawawa.
Rais wa Chama cha Mchezo wa Bao mchini Bw Mandei Likwepa akionesha moja ya barua kwa waandishi wa habari hawapo pichani iliyo andika na aliekuwa Mlezi wa Mchezo huo Hayati Rashidi Mfaume Kawawa enzi za uhai wake.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OBEsMX-b3JQ/VKhSUAfO_1I/AAAAAAAG7EY/OTwA2AAZyBA/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIRIKISHO LA MCHEZO WA BAO TANZANIA (SHIMBATA) KUMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA.
Shirikisho la mchezo wa Bao nchini (SHIMBATA) nilatarajia kufanya Tamasha kubwa la mchezo huo kwa ajili ya kumuunze aliekuwa mlezi wa mchezo huo hapa nchini Hayati Mzee Rashidi Mfaume Kawawa kama sehemu ya kumbukumbu ya miaka mitano ntangu afariki Dunia.
Tamasha hili ambalo litaudhuriwa na wanafamilia ya Mzee Kawawa wakiwemo watoto wake Mh Vita R. Kawawa Mbunge wa Namtumbo (CCM) na Mh Zainabu R. Kawawa Mbunge viti maalumu (CCM) linatarajiwa kufanyika hapo kesho...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Du2gX0t5yFU/VJnazhjj8mI/AAAAAAAG5b0/T87OtIywNfM/s72-c/Untitled1.png)
MH. ZAINABU KAWAWA AMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA KWA VITENDO
Akiwa wilayani Liwale alipokulia na kusomea Marehemu Mzee Kawawa, Mh Zainabu aliwatembela wazee mbali mbali waliokuwa marafiki wa Mzee Kwawa ili kuwawajulia hali na kusikia mitazamo yao ya Liwale ya sasa nakipindi walipo kuwa na Marehemu Mzee Kawawa.
Wakitoa mitazamo yao Mzee...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Tamasha la Busara kumuenzi Bi. Kidude
TAMASHA la kimataifa la muziki la Sauti za Busara ambalo linafahamika kama ‘Tamasha Rafiki’ mwaka huu linatarajiwa kumkumbuka msanii mkongwe Fatma Bint Baraka ‘Bi Kidude’. Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BqzKVV3BFqk/VVibnSVL4mI/AAAAAAADnHI/2d6E5n39-9Q/s72-c/809fb6a7a08db0654eda84193eeef8f9.jpg)
TAMASHA LA UTAMADUNI LAFANA JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-BqzKVV3BFqk/VVibnSVL4mI/AAAAAAADnHI/2d6E5n39-9Q/s640/809fb6a7a08db0654eda84193eeef8f9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IXEn3Tx8_tY/VVibpRfWfQI/AAAAAAADnHg/NLd_oDMxq58/s640/da07f2b51a8057ed09195da54ef5c7f1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qukQ6PgeRvQ/VVibh-Q-MsI/AAAAAAADnFw/BjNlaNNXpkQ/s640/355d0cfb35ceb6544146b50cdde487a5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cuXJZBkOWdM/VViblGnEvEI/AAAAAAADnGk/LbWGX2rjgt0/s640/6d05ea98abc3fc838b8c86eb6141fb9f.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3XTJS8DknPI/VVibouOVZmI/AAAAAAADnHU/yVsonsFAKRk/s640/9008c1eafaa8d2792bf824f331974b2d.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-LRCaj9JSc1A/Vn2OFErzuMI/AAAAAAAAsno/Xuv0ZDXaAYA/s72-c/18.jpg)
TAMASHA LA KRISMAS LAFANA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-LRCaj9JSc1A/Vn2OFErzuMI/AAAAAAAAsno/Xuv0ZDXaAYA/s640/18.jpg)
Katika Tamasha hilo Mheshimiwa Nape alisema kuwa Serikali inatambua juhudi za Wasanii na kuahidi kila msanii atapata stahiki yake anayotakiwa kupata.
Nape ambaye alimuwakilisha Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu ,alielezea...
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Tamasha la "Together At Home" lafana sana Marekani
9 years ago
GPLTAMASHA KUOMBEA AMANI LAFANA UWANJA WA TAIFA DAR
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tamasha kubwa la Tigo welcome pack lafana mkoani Arusha
Wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Manyara Group Mkoani Arusha kikiwapa burudani wakazi wa mkoa huo waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Adeid mwishoni mwa wiki kushuhudia tamasha la Tigo welcome pack, Kampuni ya Tigo imeanzisha kifurushi cha welcome pack kitakachomwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, MB175, SMS bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya Tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Wasanii wa...