KUTANA NA MWANAMKE ALIYEOA WANAUME WAWILI

Na abdallahmagana blogMWANAMKE mkazi wa kijiji cha Ikandamoyo, wilayani Katavi, Veronica Saleh ‘Mama Kaela’ (50), amefanya uamuzi adimu wa kuolewa na wanaume wawili ambao anaishi nao kijijini hapo.Kijiji hicho kipo umbali wa takribani kilometa 30 kutoka mjini hapa katika Jimbo la Katavi linalowakilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.Pamoja na ndoa hiyo iliyowezeshwa na mume mkubwa kukubali kuishi na mume mdogo, imeelezwa kuwa mwanamke huyo ndiye ‘aliyewaoa’ wanaume hao kwa zaidi ya miaka saba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Hauwa Ali Mariri: Mwanamke aliyeolewa na wanaume wawili Nigeria
10 years ago
Habarileo25 Nov
Wanaume 3 wagombea maiti ya mwanamke
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanaume watatu, wawili wakazi wa jijini hapa na mmoja mkazi wa Nyamongo wilayani Tarime juzi wakiwa katika Mtaa wa Isagenge B, Kata ya Nyakato wilayani Nyamagana, walizua tafrani baada ya kung’ang’ania maiti ya Happy Wangoge Mathias (33) aliyekufa siku chache baada ya kuolewa na Paschal Mayala, jijini hapa.
11 years ago
BBCSwahili08 Oct
Shabiki mwanamke awakera wanaume Saudia
5 years ago
CCM Blog10 Apr
WANAUME WAWILI WAFA KWA CORONA TANZANIA

5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ilikuwaje binti huyu kutoka Nigeria akaolewa na wanaume wawili?
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Wanaume wawili wathibitishwa kufa kutokana na Covid-19 Tanzania
11 years ago
GPL
MWANAMKE KABLA YA NDOA, ANATAKIWA AWE ‘AMETOKA’ NA WANAUME WANGAPI?
11 years ago
GPL
MWANAMKE KABLA YA NDOA, ANATAKIWA AWE‘AMETOKA’ NA WANAUME WANGAPI?-2