Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIRIZI YAKUTWA KWA WEMA

Stori: Issa Mnally na Richard Bukos/Risasi Mchanganyiko IMANI za kishirikina? Mshangao wa aina yake umetokea nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ baada ya kutupiwa hirizi getini kwake, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Wananchi wakishuhudia hirizi getini kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’. Tukio hilo lililokusanya watu wapenda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI

  Gresia Chilindo enzi za uhai wake. Na Gregory Nyankaira Gresia Chilindo, 74, mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, mkoani Mara ameokotwa akiwa amefariki dunia ndani ya dimbwi la kunyweshea mifugo lililopo katika kijiji hicho. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea Septemba 7, mwaka huu, walisema kwamba, awali bibi kizee huyo aliondoka nyumbani kwake Septemba 6 na kwenda mnadani Kiabakari kutafuta...

 

10 years ago

Mwananchi

Meli ‘ya Tanzania’yakutwa na tani 3 za cocaine Uingereza

London, Uingereza. Kwa mara nyingine, Jina la nchi limeendelea kuchafuka baada ya Meli ya MV Hamal iliyosajiliwa Tanzania kukamatwa barani Ulaya ikiwa imebeba shehena ya dawa za kulevya aina ya cocaine yenye uzito wa tani tatu.

 

10 years ago

StarTV

Fuvu, mifupa yakutwa imetapaka Mwatulole Geita

Na Salma Mrisho,

Geita.

 

Wakazi wa Mwatulole Mjini Geita wameiomba Halmashauri ya Mji huo kuingilia kati suala la viwanja vilivyotelekezwa katika maeneo yao kwa muda mrefu ambavyo kwa sasa vimegeuka pori la maficho ya wahalifu.

 

Katika tukio lililowashtua wakazi wengi wa eneo hilo fuvu na mifupa inayosadikiwa kuwa ni ya binadamu imekutwa imetapakaa kwenye vichaka vya nguzo mbili mjini Mwatulole hali iliyowapa hofu wananchi na kuiomba Halmashauri ya Mji kufyeka pori hilo.

 

Wakazi wa eneo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Aumizwa na Maneno ya Wema, Ampongeza Wema kwa Moyo Wakishujaa

“Minashindwa kuwaelewa watu ni kwanini mnapenda sana kutaka kutoa kibanz kwenye jicho la mtu wakat kipande chamti kiko kwenye jicho lako.....nimeumia sana na maneno ya wema,mtoto anapanga MUNGU sio binadamu .....Embu mwachen mtoto wa watu sasa awenaaamani kila siku mnamsema yeye mmnazan anachuma nin Ana moyo,afu kunawatu wanapenda sana kudandia mambo ........mmedandia weweee mme mtukana mtoto wawatu minaomba niwape namba ya MUNGU mumulize yeye kwanin na mumuache mtoto wa watu!sipendag...

 

10 years ago

Bongo Movies

"Kimenuka kwa Diamond" Mashabiki wa Wema wamtaka aache 'kumtumia' Wema kibiashara.

Kundi la watu wanaojiita mashabiki wa Wema Sepetu, limeanzisha kampeni kwenye mtandao mmoja wa maarufu wa kijamii kampeni iliyopewa jina la #BringBackOurWema likimshinikiza mpenzi wake Diamond Platnumz amrudishe kwenye maisha yake ya zamani na kukuza career yake ya filamu.

 

Mashabiki hao wanaamini kuwa Diamond anampoteza Wema na amekuwa akitumia umaarufu wake (Wema) kujidhatiti zaidi yeye huku Miss Tanzania huyo wa zamani akiendelea kudidimia.

Hivi ndivyo maelezo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtikisiko wa Hirizi (2)

Siyo kwamba kila mwanadamu anaamini kuwa ili kutatua tatizo linalokukabili ni lazima awe na elimu ya kiwango cha juu, awe mjanja wa mjini au mcha Mungu ategemeaye  maombezi kwa kufanikisha mambo yake. Wako ambao hawapo katika makundi yote hayo. Wao huamini  zaidi katika kile kinachoitwa ’nguvu za giza’.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtikisiko wa Hirizi

Siyo kwamba kila mwanadamu anaamini kuwa ili kutatua tatizo linalokukabili ni lazima awe na elimu ya kiwango cha juu, awe mjanja wa mjini au mcha Mungu ategemeaye  maombezi kwa kufanikisha mambo yake. Wako ambao hawapo katika makundi yote hayo. Wao huamini  zaidi katika kile kinachoitwa ’nguvu za giza’.

 

11 years ago

GPL

HIRIZI ZATUMIKA MAKANISANI

Stori:  Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SIRI nzito imefichuka! Baadhi ya maaskofu na wachungaji (baadhi lakini) wa makanisa ya kilokole nchini wanadaiwa kutumia hirizi ili kujaza waumini, Uwazi limenyetishiwa. SEHEMU ZINAZOKAA HIZIRI
Kwa mujibu wa mfichua siri huyo, watumishi hao wa Mungu wanaojihusisha na ushirikina wamekuwa wakizifunga hiziri hizo sehemu ya juu ya mkono wa kulia na kufichwa na shati la mikono...

 

10 years ago

GPL

PAKA AFUNGWA HIRIZI MTINI

Stori: Dustan Shekidele, MOROGORO
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, paka mwenye hirizi kubwa shingoni akiwa hai alikutwa amepigiliwa misumari juu ya mti uliopo jirani na Msikiti wa kwa Mtawara uliopo Kata ya Mwembesongo mkoani hapa. Paka mwenye hirizi kubwa shingoni akiwa amepigiliwa misumari juu ya mti uliopo jirani na Msikiti wa kwa Mtawara uliopo Kata ya Mwembesongo, Morogoro. Tukio hilo lililokusanya umati mkubwa wakiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani