HIRIZI YAKUTWA KWA WEMA
![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFxY-iTG*Soq8iClDVlDOJxLhXCEXjXXhpdAUFwNAZ4CqptVFJ4UR6V8sMkQyRSwHGvgTm3abjmSu9PAP2Ot6Esw/4.jpg?width=650)
Stori: Issa Mnally na Richard Bukos/Risasi Mchanganyiko IMANI za kishirikina? Mshangao wa aina yake umetokea nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ baada ya kutupiwa hirizi getini kwake, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Wananchi wakishuhudia hirizi getini kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’. Tukio hilo lililokusanya watu wapenda...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI
10 years ago
Mwananchi02 May
Meli ‘ya Tanzania’yakutwa na tani 3 za cocaine Uingereza
10 years ago
StarTV14 Apr
Fuvu, mifupa yakutwa imetapaka Mwatulole Geita
Na Salma Mrisho,
Geita.
Wakazi wa Mwatulole Mjini Geita wameiomba Halmashauri ya Mji huo kuingilia kati suala la viwanja vilivyotelekezwa katika maeneo yao kwa muda mrefu ambavyo kwa sasa vimegeuka pori la maficho ya wahalifu.
Katika tukio lililowashtua wakazi wengi wa eneo hilo fuvu na mifupa inayosadikiwa kuwa ni ya binadamu imekutwa imetapakaa kwenye vichaka vya nguzo mbili mjini Mwatulole hali iliyowapa hofu wananchi na kuiomba Halmashauri ya Mji kufyeka pori hilo.
Wakazi wa eneo...
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Irene Uwoya Aumizwa na Maneno ya Wema, Ampongeza Wema kwa Moyo Wakishujaa
“Minashindwa kuwaelewa watu ni kwanini mnapenda sana kutaka kutoa kibanz kwenye jicho la mtu wakat kipande chamti kiko kwenye jicho lako.....nimeumia sana na maneno ya wema,mtoto anapanga MUNGU sio binadamu .....Embu mwachen mtoto wa watu sasa awenaaamani kila siku mnamsema yeye mmnazan anachuma nin Ana moyo,afu kunawatu wanapenda sana kudandia mambo ........mmedandia weweee mme mtukana mtoto wawatu minaomba niwape namba ya MUNGU mumulize yeye kwanin na mumuache mtoto wa watu!sipendag...
10 years ago
Bongo Movies14 Aug
"Kimenuka kwa Diamond" Mashabiki wa Wema wamtaka aache 'kumtumia' Wema kibiashara.
Kundi la watu wanaojiita mashabiki wa Wema Sepetu, limeanzisha kampeni kwenye mtandao mmoja wa maarufu wa kijamii kampeni iliyopewa jina la #BringBackOurWema likimshinikiza mpenzi wake Diamond Platnumz amrudishe kwenye maisha yake ya zamani na kukuza career yake ya filamu.
Mashabiki hao wanaamini kuwa Diamond anampoteza Wema na amekuwa akitumia umaarufu wake (Wema) kujidhatiti zaidi yeye huku Miss Tanzania huyo wa zamani akiendelea kudidimia.
Hivi ndivyo maelezo...
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Mtikisiko wa Hirizi (2)
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Mtikisiko wa Hirizi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXtsp3NA2aaliFOSFDKEhGz3jMOPbcpVCb*hybnm8dMBFDQWpY1qou0b-QTQL9f4b*e4nKc8I8gOxco6XArhq0J7/hirizi.jpg?width=650)
HIRIZI ZATUMIKA MAKANISANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDLCqWf2fbJJQhJgAsqrgoSsXZWGmIQtsH7BZZkkm4qt*VYhZFsZ4FWgiYCbYMG6DrxdQayjo8GLwmo7xZwZtNbl/paka2.jpg)
PAKA AFUNGWA HIRIZI MTINI