Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meli ‘ya Tanzania’yakutwa na tani 3 za cocaine Uingereza

London, Uingereza. Kwa mara nyingine, Jina la nchi limeendelea kuchafuka baada ya Meli ya MV Hamal iliyosajiliwa Tanzania kukamatwa barani Ulaya ikiwa imebeba shehena ya dawa za kulevya aina ya cocaine yenye uzito wa tani tatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mashine ya kupima corona 'yakutwa na hitilafu Tanzania'

Wizara ya afya nchini Tanzania imebaini kuwa palikuwa na upungufu katika mfumo wa kimuundo na kiutendaji katika kukabiliana na covid-19.

 

9 years ago

DailyPost Nigeria

Lord's Chosen Nigerian pastor arrested in Tanzania for allegedly smuggling cocaine


DailyPost Nigeria
Lord's Chosen Nigerian pastor arrested in Tanzania for allegedly smuggling cocaine
DailyPost Nigeria
pass A Nigerian pastor, one Mr Chukwudi Okechukwu, who preaches in Tanzania, under the umbrella of the Lord Chosen Church of Nigeria, has reportedly bagged a 30-year jail term after being convicted of smuggling cocaine worth Sh3.1 billion. According ...
Nigerian Pastor Sentenced To 30 Years In Jail Over Drug CaseNAIJ.COM
Nigerian Pastor Jailed For 30 Years In Tanzania For Drug...

 

9 years ago

360Nobs.Com

Lord's Chosen Pastor Bags 30 Years In Jail For Smuggling Cocaine In Tanzania


360Nobs.com
Lord's Chosen Pastor Bags 30 Years In Jail For Smuggling Cocaine In Tanzania
360Nobs.com
A Nigerian pastor, who preaches in Tanzania, under the umbrella of the Lord Chosen Church of Nigeria, has been sentenced to up to 30 years in prison after being convicted of smuggling cocaine worth Sh3.1 billion. Smuggling Cocaine According to ...
Nigeria: Lord Chosen Pastor Jailed 30 Years for Smuggling Cocaine in TanzaniaNigerian Bulletin

all 2

 

10 years ago

GPL

HIRIZI YAKUTWA KWA WEMA

Stori: Issa Mnally na Richard Bukos/Risasi Mchanganyiko IMANI za kishirikina? Mshangao wa aina yake umetokea nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ baada ya kutupiwa hirizi getini kwake, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Wananchi wakishuhudia hirizi getini kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’. Tukio hilo lililokusanya watu wapenda...

 

9 years ago

GPL

MAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI

  Gresia Chilindo enzi za uhai wake. Na Gregory Nyankaira Gresia Chilindo, 74, mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, mkoani Mara ameokotwa akiwa amefariki dunia ndani ya dimbwi la kunyweshea mifugo lililopo katika kijiji hicho. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea Septemba 7, mwaka huu, walisema kwamba, awali bibi kizee huyo aliondoka nyumbani kwake Septemba 6 na kwenda mnadani Kiabakari kutafuta...

 

10 years ago

Habarileo

Meli nne za kivita za India zazuru Tanzania

MELI nne za kivita za India, zimezuru Tanzania kwa lengo la kuendeleza urafiki na ushirikiano kati ya Jeshi la Wanamaji la Tanzania na India ili kuimarisha ulinzi na usalama katika ukanda wa bahari ya Hindi.

 

10 years ago

StarTV

Fuvu, mifupa yakutwa imetapaka Mwatulole Geita

Na Salma Mrisho,

Geita.

 

Wakazi wa Mwatulole Mjini Geita wameiomba Halmashauri ya Mji huo kuingilia kati suala la viwanja vilivyotelekezwa katika maeneo yao kwa muda mrefu ambavyo kwa sasa vimegeuka pori la maficho ya wahalifu.

 

Katika tukio lililowashtua wakazi wengi wa eneo hilo fuvu na mifupa inayosadikiwa kuwa ni ya binadamu imekutwa imetapakaa kwenye vichaka vya nguzo mbili mjini Mwatulole hali iliyowapa hofu wananchi na kuiomba Halmashauri ya Mji kufyeka pori hilo.

 

Wakazi wa eneo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA

Na Editha Karlo Globu ya Jamii,Kigoma
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.

Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani