Meli ‘ya Tanzania’yakutwa na tani 3 za cocaine Uingereza
London, Uingereza. Kwa mara nyingine, Jina la nchi limeendelea kuchafuka baada ya Meli ya MV Hamal iliyosajiliwa Tanzania kukamatwa barani Ulaya ikiwa imebeba shehena ya dawa za kulevya aina ya cocaine yenye uzito wa tani tatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 May
Virusi vya corona: Mashine ya kupima corona 'yakutwa na hitilafu Tanzania'
9 years ago
DailyPost Nigeria13 Nov
Lord's Chosen Nigerian pastor arrested in Tanzania for allegedly smuggling cocaine
DailyPost Nigeria
DailyPost Nigeria
pass A Nigerian pastor, one Mr Chukwudi Okechukwu, who preaches in Tanzania, under the umbrella of the Lord Chosen Church of Nigeria, has reportedly bagged a 30-year jail term after being convicted of smuggling cocaine worth Sh3.1 billion. According ...
Nigerian Pastor Sentenced To 30 Years In Jail Over Drug CaseNAIJ.COM
Nigerian Pastor Jailed For 30 Years In Tanzania For Drug...
9 years ago
360Nobs.Com14 Nov
Lord's Chosen Pastor Bags 30 Years In Jail For Smuggling Cocaine In Tanzania
360Nobs.com
360Nobs.com
A Nigerian pastor, who preaches in Tanzania, under the umbrella of the Lord Chosen Church of Nigeria, has been sentenced to up to 30 years in prison after being convicted of smuggling cocaine worth Sh3.1 billion. Smuggling Cocaine According to ...
Nigeria: Lord Chosen Pastor Jailed 30 Years for Smuggling Cocaine in TanzaniaNigerian Bulletin
all 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFxY-iTG*Soq8iClDVlDOJxLhXCEXjXXhpdAUFwNAZ4CqptVFJ4UR6V8sMkQyRSwHGvgTm3abjmSu9PAP2Ot6Esw/4.jpg?width=650)
HIRIZI YAKUTWA KWA WEMA
9 years ago
GPLMAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI
10 years ago
Habarileo22 Oct
Meli nne za kivita za India zazuru Tanzania
MELI nne za kivita za India, zimezuru Tanzania kwa lengo la kuendeleza urafiki na ushirikiano kati ya Jeshi la Wanamaji la Tanzania na India ili kuimarisha ulinzi na usalama katika ukanda wa bahari ya Hindi.
10 years ago
StarTV14 Apr
Fuvu, mifupa yakutwa imetapaka Mwatulole Geita
Na Salma Mrisho,
Geita.
Wakazi wa Mwatulole Mjini Geita wameiomba Halmashauri ya Mji huo kuingilia kati suala la viwanja vilivyotelekezwa katika maeneo yao kwa muda mrefu ambavyo kwa sasa vimegeuka pori la maficho ya wahalifu.
Katika tukio lililowashtua wakazi wengi wa eneo hilo fuvu na mifupa inayosadikiwa kuwa ni ya binadamu imekutwa imetapakaa kwenye vichaka vya nguzo mbili mjini Mwatulole hali iliyowapa hofu wananchi na kuiomba Halmashauri ya Mji kufyeka pori hilo.
Wakazi wa eneo...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIbwni2OPnA/VJiURzEbUXI/AAAAAAAG5IY/XlIu69ch3kA/s72-c/unnamed%2B(17)%2Bcopy.jpg)
NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.
Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...