Fuvu, mifupa yakutwa imetapaka Mwatulole Geita
Na Salma Mrisho,
Geita.
Wakazi wa Mwatulole Mjini Geita wameiomba Halmashauri ya Mji huo kuingilia kati suala la viwanja vilivyotelekezwa katika maeneo yao kwa muda mrefu ambavyo kwa sasa vimegeuka pori la maficho ya wahalifu.
Katika tukio lililowashtua wakazi wengi wa eneo hilo fuvu na mifupa inayosadikiwa kuwa ni ya binadamu imekutwa imetapakaa kwenye vichaka vya nguzo mbili mjini Mwatulole hali iliyowapa hofu wananchi na kuiomba Halmashauri ya Mji kufyeka pori hilo.
Wakazi wa eneo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Mchina adakwa na fuvu la swala, mifupa ya twiga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFxY-iTG*Soq8iClDVlDOJxLhXCEXjXXhpdAUFwNAZ4CqptVFJ4UR6V8sMkQyRSwHGvgTm3abjmSu9PAP2Ot6Esw/4.jpg?width=650)
HIRIZI YAKUTWA KWA WEMA
9 years ago
GPLMAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI
10 years ago
Mwananchi02 May
Meli ‘ya Tanzania’yakutwa na tani 3 za cocaine Uingereza
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Fuvu la kichwa lakutwa Chanika
WATU watatu wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti akiwamo mmoja aliyekutwa fuvu la kichwa pekee. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema kati...
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Mzungu akamatwa na fuvu la binadamu
10 years ago
Mwananchi14 May
Mwenyekiti wa kijiji akutwa na fuvu la binadamu
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Sir Andy Chande: Nilirejesha fuvu la Zinjanthropus nchini
9 years ago
Habarileo23 Aug
Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.