Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sir Andy Chande: Nilirejesha fuvu la Zinjanthropus nchini

Wiki iliyopita, mwandishi wa makala haya aliyewahi kuwa Mkuu wa Freemason Afrika Mashariki, Sir Andy Chande alisimulia namna alivyoanzisha Shule ya Shaaban Robert, pia alieleza kuwa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa alikuwa gavana wa kwanza wa shule hiyo. Sasa endelea…

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Nilinusurika kutekwa kwenye ndege

Siku iliyofuata saa 3 asubuhi, waziri akiwa na miwani ya rangi nyeusi, tena baada ya kupata vikombe viwili vikubwa vya maziwa, alitoa hotuba ambayo kamwe sikuwahi kuisikia akizungumzia mambo kadhaa yaliyokuwa yamependekezwa na Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Sir Andy Chande: Mwalimu Nyerere aliniomba msamaha

>Baada ya wiki iliyopita, mwandishi wa simulizi hizi, Sir Andy Chande kusimulia namna Serikali ilivyotaifisha kampuni kutoka kwa watu wenye asili ya Asia. Sasa endelea…

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Serikali ilitumia dakika moja kutaifisha kampuni zetu

Jana katika simulizi hizi, mwandishi Sir Andy Chande aliyekuwa Kiongozi wa Freemason Afrika Mashariki, alieleza namna Azimio la Arusha lilivyokusudia kubadilisha hali ya kiuchumi nchini

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 60 ya Sir Chande ndani ya Freemason nchini

Wakati mwigizaji maarufu Stephen Kanumba alipofariki ghafla April 2012, aliacha mjadala na maswali kwa wapenzi wake, kama alikuwa mwanachama wa Freemason au la.

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Chande: Nilivyopata uongozi Freemason

Wamekuwa wakitajwa kwenye kila aina ya minong’ono. Tumeona matangazo yakialika watu kujiunga nao kama wanataka kupata utajiri na kuwa watu wenye nguvu. Lakini bado Freemason, imebaki kuwa kitendawili miongoni mwa Watanzania wengi.

 

10 years ago

Vijimambo

JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AMJULIA HALI RAIS JAKAYA KIKWETE NCHINI MAREKANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea Wakati alipotembelewa na Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman  na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland.  Jaji Mkuu yuko  Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa kimataifa wa Mabadiliko ya Sheria ya Ushahidi na pia kukutana na taasisi mbalimbali za fedha na marafiki wa maendeleo katika ili  kupata...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzungu akamatwa na fuvu la binadamu

Matukio ya wasafiri kukamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakiwa na nyara za Serikali na dawa za kulevya, yanazidi kuchukua sura mpya baada ya raia mmoja wa Ubelgiji kukamatwa akiwa na fuvu la binadamu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fuvu la kichwa lakutwa Chanika

WATU watatu wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti akiwamo mmoja aliyekutwa fuvu la kichwa pekee. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema kati...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa kijiji akutwa na fuvu la binadamu

Bariadi. Polisi mkoani Simiyu inamshikilia mkazi wa Kijiji cha Bukigi, Kata ya Malampaka wilayani Maswa, kwa tuhuma za kukutwa na viungo vinavyosadikiwa kuwa ni vya binadamu likiwamo fuvu la kichwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani