Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sir Andy Chande: Serikali ilitumia dakika moja kutaifisha kampuni zetu

Jana katika simulizi hizi, mwandishi Sir Andy Chande aliyekuwa Kiongozi wa Freemason Afrika Mashariki, alieleza namna Azimio la Arusha lilivyokusudia kubadilisha hali ya kiuchumi nchini

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Nilinusurika kutekwa kwenye ndege

Siku iliyofuata saa 3 asubuhi, waziri akiwa na miwani ya rangi nyeusi, tena baada ya kupata vikombe viwili vikubwa vya maziwa, alitoa hotuba ambayo kamwe sikuwahi kuisikia akizungumzia mambo kadhaa yaliyokuwa yamependekezwa na Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Nilirejesha fuvu la Zinjanthropus nchini

Wiki iliyopita, mwandishi wa makala haya aliyewahi kuwa Mkuu wa Freemason Afrika Mashariki, Sir Andy Chande alisimulia namna alivyoanzisha Shule ya Shaaban Robert, pia alieleza kuwa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa alikuwa gavana wa kwanza wa shule hiyo. Sasa endelea…

 

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Sir Andy Chande: Mwalimu Nyerere aliniomba msamaha

>Baada ya wiki iliyopita, mwandishi wa simulizi hizi, Sir Andy Chande kusimulia namna Serikali ilivyotaifisha kampuni kutoka kwa watu wenye asili ya Asia. Sasa endelea…

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Chande: Nilivyopata uongozi Freemason

Wamekuwa wakitajwa kwenye kila aina ya minong’ono. Tumeona matangazo yakialika watu kujiunga nao kama wanataka kupata utajiri na kuwa watu wenye nguvu. Lakini bado Freemason, imebaki kuwa kitendawili miongoni mwa Watanzania wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 60 ya Sir Chande ndani ya Freemason nchini

Wakati mwigizaji maarufu Stephen Kanumba alipofariki ghafla April 2012, aliacha mjadala na maswali kwa wapenzi wake, kama alikuwa mwanachama wa Freemason au la.

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LAFARGE NA HOLCIM ZAUNDA KAMPUNI MOJA YA LAFARGEHOLCIM, ITAKAYOSHUGHULIKA NA VIFAA VYA UJENZI

Kiwanda cha saraji cha Lafarge kilichopo Mbeya. Kiwanda hiki ni maarufu kwa utengenezaji wa saruji, kokoto na zege. Wafanyakazi wa kiwanda cha saruji cha Lafarge kilichopo Mbeya wakiwa kwenye picha ya pamoja. Lafarge ni mdau mkubwa katika bishara ya Saruji, Kokoto na Zege.
Kampuni mbili zinazoongoza katika sekta ya ujenzi hapa nchini, Lafarge S.A. na Holcim Ltd zimekamilisha muungano wao uliosubiriwa kwa muda mrefu na kuunda kampuni moja itakayo fahamika kwa jina la LafargeHolcim.
Vigezo...

 

9 years ago

Mwananchi

Kupiga kura dakika moja

Ikiwa zimebaki siku 47 kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, imebainika kuwa kila mtu atatumia wastani wa dakika moja kupiga kura kuchagua diwani, mbunge na rais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kimya cha dakika moja kwa wandishi

Wandishi wa BBC waliungana na wenzao wa kimataifa kukaa kimya kwa dakika moja kupinga hukumu dhidi ya wandishi wa Al Jazeera.

 

9 years ago

Bongo5

Lipstick za Drake zamalizika dakika moja tu baada ya kuingia sokoni

Tom-Ford-Lipstick-for-Drake-Bellanaija-October-2015001

Lipstick za Drake kupitia brand ya Tom Ford zimemalizika dakika moja tu baada ya kuingia sokoni.

Tom-Ford-Lipstick-for-Drake-Bellanaija-October-2015001

Lipstick hizo ni sehemu ya collection ya Tom Ford, Lips & Boys.

12301133_653798161429136_1620745688_n

Kupitia Instagram, Drake amepost picha hiyo juu na kuandika: My mom bought all of them. Hey Ma.”

Lipstick hizi zilikuwa zikiuzwa kwa $35.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani