Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 60 ya Sir Chande ndani ya Freemason nchini

Wakati mwigizaji maarufu Stephen Kanumba alipofariki ghafla April 2012, aliacha mjadala na maswali kwa wapenzi wake, kama alikuwa mwanachama wa Freemason au la.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sir Chande: Nilivyopata uongozi Freemason

Wamekuwa wakitajwa kwenye kila aina ya minong’ono. Tumeona matangazo yakialika watu kujiunga nao kama wanataka kupata utajiri na kuwa watu wenye nguvu. Lakini bado Freemason, imebaki kuwa kitendawili miongoni mwa Watanzania wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Nilirejesha fuvu la Zinjanthropus nchini

Wiki iliyopita, mwandishi wa makala haya aliyewahi kuwa Mkuu wa Freemason Afrika Mashariki, Sir Andy Chande alisimulia namna alivyoanzisha Shule ya Shaaban Robert, pia alieleza kuwa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa alikuwa gavana wa kwanza wa shule hiyo. Sasa endelea…

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Nilinusurika kutekwa kwenye ndege

Siku iliyofuata saa 3 asubuhi, waziri akiwa na miwani ya rangi nyeusi, tena baada ya kupata vikombe viwili vikubwa vya maziwa, alitoa hotuba ambayo kamwe sikuwahi kuisikia akizungumzia mambo kadhaa yaliyokuwa yamependekezwa na Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Sir Andy Chande: Mwalimu Nyerere aliniomba msamaha

>Baada ya wiki iliyopita, mwandishi wa simulizi hizi, Sir Andy Chande kusimulia namna Serikali ilivyotaifisha kampuni kutoka kwa watu wenye asili ya Asia. Sasa endelea…

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Serikali ilitumia dakika moja kutaifisha kampuni zetu

Jana katika simulizi hizi, mwandishi Sir Andy Chande aliyekuwa Kiongozi wa Freemason Afrika Mashariki, alieleza namna Azimio la Arusha lilivyokusudia kubadilisha hali ya kiuchumi nchini

 

11 years ago

GPL

BINTI MIAKA 16 ATOA SIRI ZA FREEMASON

Na Waandishi Wetu NI lipi hujasikia? Linaweza kuwa hili! Binti mmoja aliyetambulishwa kwa jina la  Fauzia (jina la mbele lipo), mwenye umri wa miaka 16, mkazi wa Kigogo jijini Dar amedai kutumikia nafasi ya umalkia katika imani yenye utata duniani ya Freemason, Uwazi linakudondoshea. Binti Fauzia akiwa amepozi nyumbani kwao maeneo ya Kigogo jijini Dar es Salaam. Binti huyo alikwenda mbele zaidi kwa kudai kwamba ili kujiunga...

 

10 years ago

Vijimambo

JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AMJULIA HALI RAIS JAKAYA KIKWETE NCHINI MAREKANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea Wakati alipotembelewa na Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman  na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland.  Jaji Mkuu yuko  Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa kimataifa wa Mabadiliko ya Sheria ya Ushahidi na pia kukutana na taasisi mbalimbali za fedha na marafiki wa maendeleo katika ili  kupata...

 

10 years ago

GPL

ATESEKA NDANI MIAKA 25

Gladness mallya MSICHANA Ramla Mohamed (31) mkazi wa Tandika, Dar amejikuta katika wakati mgumu kutokana na kufungiwa ndani kwa miaka 25 baada ya kupooza uti wa mgongo na kusumbuliwa na degedege....Soma zaidi===>http://bit.ly/1StcVTn

 

9 years ago

Michuzi

UJUMBE WA UBALOZI WA CHINA NCHINI WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

 Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini, Lu Youqin akizungumza katika kikao na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Mhe. Charles Kitwanga (wa pili upande wa kushoto).  Katika kikao hicho kilichofanyika Wizara hapo, viongozi hawa walijadili masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano wa Serikali ya China na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Charles Kitwanga (wa kwanza upande wa kulia), akimsikiliza Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Lu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani