KAMPUNI YA LAFARGE NA HOLCIM ZAUNDA KAMPUNI MOJA YA LAFARGEHOLCIM, ITAKAYOSHUGHULIKA NA VIFAA VYA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ixQ2_eQwmx4/VagRdKNP3QI/AAAAAAAHqJ8/b9U-PIM7CaE/s72-c/001.jpg)
Kiwanda cha saraji cha Lafarge kilichopo Mbeya. Kiwanda hiki ni maarufu kwa utengenezaji wa saruji, kokoto na zege.
Wafanyakazi wa kiwanda cha saruji cha Lafarge kilichopo Mbeya wakiwa kwenye picha ya pamoja. Lafarge ni mdau mkubwa katika bishara ya Saruji, Kokoto na Zege.
Kampuni mbili zinazoongoza katika sekta ya ujenzi hapa nchini, Lafarge S.A. na Holcim Ltd zimekamilisha muungano wao uliosubiriwa kwa muda mrefu na kuunda kampuni moja itakayo fahamika kwa jina la LafargeHolcim.
Vigezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Mwinyi azindua kampuni ya vifaa vya ujenzi, kilimo
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA UUZAJI VIFAA VYA UJENZI FMJ YATOA MSAADA WA VITAKASA MIKONO KWA WAANDISHI WA HABARI ...YATUMA UJUMBE KWA WAJENZI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali KUHUSU mapambano ya kupunguza kuenea Kwa ugonjwa wa Covid-19,Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi ya FMJ Hard Ware Lmt iliyopo Buguruni Kisiwani jijini Dar es Salaam imetoa msaada wa vitakasa mikono kwa vyombo vya habari.
Uongozi wa Kampuni hiyo umesema unatambua kazi kubwa inaayofanywa na vyombo vya habari hasa katika utoaji wa elimu na kuhabarisha umma kuhusu Corona, hivyo wameona haja ya kuwawezesha vitakasa mikono...
9 years ago
Bongo514 Sep
Tatizo la gharama kubwa za kufanya video linatokana na uwepo wa kampuni moja tu ya kukodisha vifaa — Hanscana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-efQt6JWr5No/XqwD-VEzJnI/AAAAAAALows/L7-jnhGj2oY42_qNh6-RnShvVjO1MBTGACLcBGAsYHQ/s72-c/88f24eed-2c7c-403e-9140-17c3a56d7062.jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA IRINGA AMEPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA COVID 19 KUTOKA KAMPUNI YA AGORA WOOD PRODUCT
![](https://1.bp.blogspot.com/-efQt6JWr5No/XqwD-VEzJnI/AAAAAAALows/L7-jnhGj2oY42_qNh6-RnShvVjO1MBTGACLcBGAsYHQ/s640/88f24eed-2c7c-403e-9140-17c3a56d7062.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b26e755a-61f6-4ce8-a5c0-cc3032d6fd3d.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Kamishna Msaidi wa Polisi (ACP), Juma Bwire kulia(kulia) akipokea vifaa vya kujikinga dhidi ya Virusi ya Covid 19 kutoka Kampuni ya Agora Wood Product vyenye thamani Tsh Milioni 6. 5 kuwasaidia askari Polisi kujilinda afya zao. (Picha na Datus Mahendeka wa Jeshi la Polisi)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200502-WA0089.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YASAIDIA VIFAA VYA ZAIDI YA MILIONI 10, DC MUFINDI AISHUKURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMdFtj3aFrg/XrFiOMz-e4I/AAAAAAAAH3U/KiT_vhoCofYP9rkryB_IT5dgRsGYK0DmQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0089.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lKBbAjRlFyY/XrFiOenMQII/AAAAAAAAH3Y/XaUdtRz4rXstIgGvl0Quf_qhiPJwNOVIACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0090.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBqd_dH1M00/XrFiOUqFUtI/AAAAAAAAH3c/2iJddyo8krofk2apDBr-cO-cfQuXi5nQQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200502-WA0092.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki Samsung yalenga kukuza uchumi wa jiji la Arusha
Kampuni ya Samsung inazindua rasmi duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine mjini Arusha siku ya leo. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha kupata huduma stahiki na bidhaa halisi za Samsung. Kituo hiki ni cha kwanza kuzinduliwa mkoani Arusha na kampuni hii yenye idadi kubwa ya watumiaji na vifaa bora vya kielektroniki ulimwenguni.
“Mtazamo wa maisha ya wateja hubadilika kwa kasi kubwa na kuwafanya kuongeza mahitaji ya bidhaa na huduma...
5 years ago
MichuziDIWANI AISHUKURU KAMPUNI YA GP KWA KUWASAIDIA WANANCHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA,FUTARI
Mmiliki wa Kampuni ya SSMC Limited Saidi Mohamed kushoto akimkabidhi
vyakula vya futari na vifaa vya kujikinga na Ugonjwa wa Corona Diwani wa
Kata ya Makorora Omari Mzee vyenye thamani ya milioni 16 vilivyotolewa
na Kampuni ya Mafuta ya GP mapema leo kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kata
ya Makorora Ramadhani Badi
Diwani wa Kata ya Makorora Omari Mzee kushoto akibidhi mmoja wa wananchi wa Kata ya Makorora Futari yenye thamani ya milioni 16 vilivyotolewa na Kampuni ya Mafuta ya GP mapema leo...
10 years ago
GPLMAKONDA APOKEA VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 50 KUTOKA KAMPUNI YA TSN
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RQzF_Blxv6A/XoSHoiSGkmI/AAAAAAAA-WI/gnn3yTd-L6c8BMc6wscxzNykgp5G9OZzQCLcBGAsYHQ/s72-c/AA.jpg)
KAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYA MILIONI 80.9
Akipokea msaada huo, Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai amesema kuwa msaada huo utasaidia kwa kiasi kikubwa matibabu ya wagonjwa wenye ulemavu wa miguu na mikono.
Kwa upande wake Meneja wa Kampuni ya EAA Co. Ltd, Josiah Benedict amesema wameguswa na changamoto zinazowakabili watanzania ndiyo maana wameamua...