Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fuvu la kichwa lakutwa Chanika

WATU watatu wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti akiwamo mmoja aliyekutwa fuvu la kichwa pekee. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema kati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzungu akamatwa na fuvu la binadamu

Matukio ya wasafiri kukamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakiwa na nyara za Serikali na dawa za kulevya, yanazidi kuchukua sura mpya baada ya raia mmoja wa Ubelgiji kukamatwa akiwa na fuvu la binadamu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa kijiji akutwa na fuvu la binadamu

Bariadi. Polisi mkoani Simiyu inamshikilia mkazi wa Kijiji cha Bukigi, Kata ya Malampaka wilayani Maswa, kwa tuhuma za kukutwa na viungo vinavyosadikiwa kuwa ni vya binadamu likiwamo fuvu la kichwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mchina adakwa na fuvu la swala, mifupa ya twiga

Raia wa China, Pianan Li (51), amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa na mifupa miwili ya twiga na fuvu la kichwa cha swala likiwa na pembe zake.

 

10 years ago

StarTV

Fuvu, mifupa yakutwa imetapaka Mwatulole Geita

Na Salma Mrisho,

Geita.

 

Wakazi wa Mwatulole Mjini Geita wameiomba Halmashauri ya Mji huo kuingilia kati suala la viwanja vilivyotelekezwa katika maeneo yao kwa muda mrefu ambavyo kwa sasa vimegeuka pori la maficho ya wahalifu.

 

Katika tukio lililowashtua wakazi wengi wa eneo hilo fuvu na mifupa inayosadikiwa kuwa ni ya binadamu imekutwa imetapakaa kwenye vichaka vya nguzo mbili mjini Mwatulole hali iliyowapa hofu wananchi na kuiomba Halmashauri ya Mji kufyeka pori hilo.

 

Wakazi wa eneo...

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Nilirejesha fuvu la Zinjanthropus nchini

Wiki iliyopita, mwandishi wa makala haya aliyewahi kuwa Mkuu wa Freemason Afrika Mashariki, Sir Andy Chande alisimulia namna alivyoanzisha Shule ya Shaaban Robert, pia alieleza kuwa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa alikuwa gavana wa kwanza wa shule hiyo. Sasa endelea…

 

9 years ago

Habarileo

Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.

 

9 years ago

Michuzi

NGUMI KUPIGWA CHANIKA SEPTEMBA 26

Na Mwandishi Wetu BONDIA Said Mbelwa anatarajia kupanda uringoni kwa mara nyingine tena kugombania mkanda wa taifa wa chama cha ngumi za kulipwa PST dhidi ya bondia George Dimoso mpambano .Mpambano utakaofanyika Septemba 26 katika ukumbi wa Butihama Villa Club uliopo chanika mpambano huo wa raundi kumi ulioratibiwa na 
Kocha wa kimataifa nchini Rajabu Mhamila 'Super D' utakuwa ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wa kwanza Dimoso kudundwa kwa point

Super D aliongeza kuwa siku iyo...

 

10 years ago

Daily News

Chanika leads by example in home addresses


Chanika leads by example in home addresses
Daily News
THE exercise of allocating permanent addresses to Chanika Ward residents in Ilala District has so far covered 900 houses. Speaking to the 'Daily News on Saturday' yesterday, the Chairman of Nguvu Mpya area in Chanika Ward, Mr Salehe Mtumbuka, said ...

 

10 years ago

Daily News

Students terrorise Chanika Ward


Students terrorise Chanika Ward
Daily News
A WAVE of crimes has hit some areas in Chanika Ward, Ilala District. Acts of hooliganism carried out by students have erupted in the locality worrying residents in the area. Some well-behaved students have expressed concern that they face a lot of ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani