Fuvu la kichwa lakutwa Chanika
WATU watatu wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti akiwamo mmoja aliyekutwa fuvu la kichwa pekee. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema kati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Mzungu akamatwa na fuvu la binadamu
10 years ago
Mwananchi14 May
Mwenyekiti wa kijiji akutwa na fuvu la binadamu
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Mchina adakwa na fuvu la swala, mifupa ya twiga
10 years ago
StarTV14 Apr
Fuvu, mifupa yakutwa imetapaka Mwatulole Geita
Na Salma Mrisho,
Geita.
Wakazi wa Mwatulole Mjini Geita wameiomba Halmashauri ya Mji huo kuingilia kati suala la viwanja vilivyotelekezwa katika maeneo yao kwa muda mrefu ambavyo kwa sasa vimegeuka pori la maficho ya wahalifu.
Katika tukio lililowashtua wakazi wengi wa eneo hilo fuvu na mifupa inayosadikiwa kuwa ni ya binadamu imekutwa imetapakaa kwenye vichaka vya nguzo mbili mjini Mwatulole hali iliyowapa hofu wananchi na kuiomba Halmashauri ya Mji kufyeka pori hilo.
Wakazi wa eneo...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Sir Andy Chande: Nilirejesha fuvu la Zinjanthropus nchini
9 years ago
Habarileo23 Aug
Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LXNighe7JOs/VfKdRUOUC0I/AAAAAAAAHUY/qGChT4HBgj4/s72-c/super%2Bd%2Bboxing%2Bpromotion.jpg)
NGUMI KUPIGWA CHANIKA SEPTEMBA 26
![](http://1.bp.blogspot.com/-LXNighe7JOs/VfKdRUOUC0I/AAAAAAAAHUY/qGChT4HBgj4/s640/super%2Bd%2Bboxing%2Bpromotion.jpg)
Kocha wa kimataifa nchini Rajabu Mhamila 'Super D' utakuwa ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wa kwanza Dimoso kudundwa kwa point
Super D aliongeza kuwa siku iyo...
10 years ago
Daily News11 Jul
Chanika leads by example in home addresses
Daily News
THE exercise of allocating permanent addresses to Chanika Ward residents in Ilala District has so far covered 900 houses. Speaking to the 'Daily News on Saturday' yesterday, the Chairman of Nguvu Mpya area in Chanika Ward, Mr Salehe Mtumbuka, said ...
10 years ago
Daily News12 Jul
Students terrorise Chanika Ward
Daily News
A WAVE of crimes has hit some areas in Chanika Ward, Ilala District. Acts of hooliganism carried out by students have erupted in the locality worrying residents in the area. Some well-behaved students have expressed concern that they face a lot of ...