Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAMAGA -AFRIKA SANA SINZA TAABAN KWA MAFURIKO.!

Pichani ni sehemu ya barabara kutoka Bamaga kuelekea Afrikasana Sinza jijini Dar ikiwa hoi bin taaaban baada ya kufunikwa na maji kufuatia mvua ambazo zimekuwa zikiendelea kunyesha jijini,aidha mafuriko hayo yamekuwa yakisababishwa pia na mitalo mingi ya eneo hilo kuzibwa na takataka zinazotupwa holela,matokeo yake maji yamekuwa yakikosa muelekeo.Idara husika wanapaswa kulifanyia kazi ipasavyo eneo hilo kwani limekuwa ni kero kubwa kwa wanaotumia barabara hiyo kila wakati kwenda kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAHUSIKA TAA HII ILIYOANGUKA HAMJAIONA SINZA-AFRIKA SANA?

Nguzo ya taa za Barabara ya Shekilango maeneo ya Sinza-Afrika Sana  iliyoanguka muda mrefu uliopita. TAA za barabarani ni moja ya kodi za wananchi, na zimewekwa kwa ajili ya ulinzi, usalama, kuongeza ajira pamoja na kupendezesha mji. Takribani mwezi sasa mtandao wa GPL umekuwa ukiiona taa ikiwa imeanguka chini maeneo ya Sinza Afrika Sana, huku  sehemu ya taa yake ikiwa haipo na kubakia nguzo tu. Je,  wahusika...

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYOKUWA ENEO LA SINZA-AFRIKA SANA BAADA YA KUNYESHA MVUA KUBWA JANA

Wananchi wakivushwa na lori eneo la Sinza-Afrika lililojaa maji kutokana na mvua kubwa iliyonyesha jana. Magari yakipita kwa tabu eneo hilo kutokana na mvua kubwa zinazoendea kunyesha. (Picha na Makongoro Oging /…

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO 'YALIVYOLIZAMISHA' ENEO LA KONA YA SHEKILANGO/BAMAGA

Maji yakiwa yamejaa katika barabara ya Shekilango eneo la Bamaga leo. Vyombo vya moto vikiendelea kupita taratibu katika eneo hilo.…

 

11 years ago

GPL

CHEMBA ILIYOBOMOKA ENEO LA MWENGE YAWA KERO KWA WATUMIAJI WA BARABARA INAYOELEKEA AFRIKA SANA‏

Chemba iliyobomoka ikiwa wazi maeneo ya Mwenge. Mawe yakiwa yamewekwa kuzuia magari yasipite baada ya chemba hiyo kubomoka. CHEMBA iliyobomoka maeneo ya Mwenge Jijini Dar imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara ya kutoka Mwenge kuelekea Afrika Sana. Chemba hiyo ilibomoka baada ya gari…

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA TRAVEL & LOGISTICS SASA CHAGUO NI LAKO KUFARIRISHA MZIGO KWA NDEGE AU MELI BEI NI POA SANA

 WE PIGA SIMU TU NA MZIGO UTAUKUTA DAR ES SLAAM AU POPOTE PALE DUNIANI UNAPOTAKA KUUPELEKA JARIBU LEO AFRIKA TRAVEL & LOGISTICS KWA AJILI YAKO WAKATI WOWOTE HUDUMA ILIYO BORA KWA HARAKA NA UFANISI KWANI KWETU MTEJA NI MFALME.

 

11 years ago

GPL

MAZOEZI YA MISS SINZA KUANZA MEI 5 KWENYE UKUMBI WA MEEDA, SINZA

Prisca Clement (katikati) mara baada ya kushinda taji la vipaji katika mashindano ya Miss Tanzania 2013. Na Mwandishi Wetu
MAZOEZI ya warembo watakaowania taji la urembo la Sinza, Miss  2014 yataanza Mei 5 kwenye ukumbi wa Meeda uliopo Sinza Mori na Lufungila jijini Dar es Salaam. Taji la Miss Sinza linashikiliwa na Miss Tanzania, Prisca Clement alimaliza katika hatua ya 10 bora katika mashindano ya mwaka jana ya Miss...

 

11 years ago

Michuzi

Redd's Miss Sinza 2014 Kufanyika kesho Meeda Club Sinza

Mratibu wa shindano la Redd's miss Sinza 2014 Tinna Matutuna katikati akizungumza na waandishi wa Habari katika ukumbi wa mikutano wa Meeda Night Club sinza juu ya Shindano la Redd's Miss Sinza litakalofanyika kesho ijumaa katika ukumbi wa Meeda Night Club kwa kiingilio cha 5,000 kwa viti vya kawaida na 10,000 kwa Viti Maalum .kushoto na kulia ni baadhi ya warembo wa shindano hilo. =======  ====== ===== MNYANGE atakayefanikiwa kuibuka mrembo wa kitongoji cha Sinza ‘ Redds Miss Sinza  2014’...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama: Uchumi wa Afrika umeimarika sana

Rais Obama amesifu uwezo wa biashara na uchumi wa bara Afrika kwenye hotuba yake ya kwanza tangu aingie nchini Kenya siku ya Ijumaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani