Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama: Uchumi wa Afrika umeimarika sana

Rais Obama amesifu uwezo wa biashara na uchumi wa bara Afrika kwenye hotuba yake ya kwanza tangu aingie nchini Kenya siku ya Ijumaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

NBS: Uchumi wa Tanzania umeimarika

Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke

Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke

NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema katika robo ya kwanza ya mwaka huu inayoanzia Januari hadi Machi, uchumi umepanda  kwa asilimia 7.4 ikilinganishwa na asilimia 7.1 katika robo ya kwanza ya mwaka jana.

Kukua huko kwa uchumi kumechangiwa na sekta za umeme na maji, mawasiliano na uchukuzi na viwanda na ujenzi.

Akizungumza jana, Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke, alisema sekta ya umeme na maji imekua kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Uchumi wa Zanzibar umeimarika, asema Shein

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema takwimu za robo mbili za mwanzo za mwaka 2015, uchumi wa Zanzibar umeendelea kuimarika. Alisema hayo wakati akiwahutubia wananchi wakati wa kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona Afrika: 'Hakuna muda wa kunasua uchumi wa Afrika' dhidi ya corona

Chumi nyingi za mataifa ya Afrika zimekuwa zikiimarika Many kabla ya kuibuka kwa janga la corona - hali hiyo huenda ikabadilika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ufaulu umeimarika, ubora je?

JANA, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk. Charles Msonde, alitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika kuanzia Mei 5 hadi 21, mwaka huu....

 

10 years ago

Michuzi

BAMAGA -AFRIKA SANA SINZA TAABAN KWA MAFURIKO.!

Pichani ni sehemu ya barabara kutoka Bamaga kuelekea Afrikasana Sinza jijini Dar ikiwa hoi bin taaaban baada ya kufunikwa na maji kufuatia mvua ambazo zimekuwa zikiendelea kunyesha jijini,aidha mafuriko hayo yamekuwa yakisababishwa pia na mitalo mingi ya eneo hilo kuzibwa na takataka zinazotupwa holela,matokeo yake maji yamekuwa yakikosa muelekeo.Idara husika wanapaswa kulifanyia kazi ipasavyo eneo hilo kwani limekuwa ni kero kubwa kwa wanaotumia barabara hiyo kila wakati kwenda kwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mikopo yayumbisha uchumi wa Afrika

Ripoti mpya imeonya kwa uthabiti wa uchumi wa mataifa yaliyo kusini mwa jangwa la Sahara, unatishiwa na kushuka kwa thamani ya pesa pamoja na ongezeko katika kiwango cha mataifa hayo kukopa pesa.

 

10 years ago

GPL

WAHUSIKA TAA HII ILIYOANGUKA HAMJAIONA SINZA-AFRIKA SANA?

Nguzo ya taa za Barabara ya Shekilango maeneo ya Sinza-Afrika Sana  iliyoanguka muda mrefu uliopita. TAA za barabarani ni moja ya kodi za wananchi, na zimewekwa kwa ajili ya ulinzi, usalama, kuongeza ajira pamoja na kupendezesha mji. Takribani mwezi sasa mtandao wa GPL umekuwa ukiiona taa ikiwa imeanguka chini maeneo ya Sinza Afrika Sana, huku  sehemu ya taa yake ikiwa haipo na kubakia nguzo tu. Je,  wahusika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marais wastaafu wajadili uchumi wa Afrika

MARAIS wastaafu sita kutoka barani Afrika walikutana mwishoni mwa wiki katika mdahalo wa kujadili mwelekeo wa uchumi wa nchi za bara hilo na watu wake. Mdahalo huo wa siku moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani