Ufaulu umeimarika, ubora je?
JANA, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk. Charles Msonde, alitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika kuanzia Mei 5 hadi 21, mwaka huu....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Sep
NBS: Uchumi wa Tanzania umeimarika
![Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Moris-Oyuke.jpg)
Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema katika robo ya kwanza ya mwaka huu inayoanzia Januari hadi Machi, uchumi umepanda kwa asilimia 7.4 ikilinganishwa na asilimia 7.1 katika robo ya kwanza ya mwaka jana.
Kukua huko kwa uchumi kumechangiwa na sekta za umeme na maji, mawasiliano na uchukuzi na viwanda na ujenzi.
Akizungumza jana, Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke, alisema sekta ya umeme na maji imekua kwa...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Obama: Uchumi wa Afrika umeimarika sana
9 years ago
Habarileo02 Jan
Uchumi wa Zanzibar umeimarika, asema Shein
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema takwimu za robo mbili za mwanzo za mwaka 2015, uchumi wa Zanzibar umeendelea kuimarika. Alisema hayo wakati akiwahutubia wananchi wakati wa kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016.
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Viwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya TaifaViwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya Taifa
9 years ago
Habarileo28 Aug
Ufaulu kufikia asilimia 80
BAADA ya kupata mafanikio katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imedhamiria kuongeza kiwango cha ufaulu kwa shule za msingi na sekondari, kutoka asilimia 70 hadi 80 mwaka huu.
10 years ago
Habarileo06 Nov
Ufaulu la Saba juu
BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2014 yanayoonesha kuwa, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 6.38 huku Kanda ya Ziwa iking’ara kwa kuwa na shule nane kati ya kumi bora kitaifa.
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ufaulu wa walimu waongezeka
11 years ago
Habarileo22 Feb
Ufaulu kidato IV wapanda
UFAULU wa watahiniwa wa kidato cha nne mwaka jana umeongezeka kwa mujibu wa taarifa ya matokeo ya mitihani hiyo kutoka Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA).
9 years ago
Habarileo22 Dec
Ufaulu la 7 Dar wapanda
WAKATI ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba ukipanda kwa mkoa wa Dar es Salaam, imeelezwa kuwa wanafunzi 49,063 sawa na asilimia 83.17 ya waliofaulu mtihani wa darasa la saba mkoani humo wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.