Uchumi wa Zanzibar umeimarika, asema Shein
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema takwimu za robo mbili za mwanzo za mwaka 2015, uchumi wa Zanzibar umeendelea kuimarika. Alisema hayo wakati akiwahutubia wananchi wakati wa kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Sep
NBS: Uchumi wa Tanzania umeimarika
![Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Moris-Oyuke.jpg)
Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema katika robo ya kwanza ya mwaka huu inayoanzia Januari hadi Machi, uchumi umepanda kwa asilimia 7.4 ikilinganishwa na asilimia 7.1 katika robo ya kwanza ya mwaka jana.
Kukua huko kwa uchumi kumechangiwa na sekta za umeme na maji, mawasiliano na uchukuzi na viwanda na ujenzi.
Akizungumza jana, Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Moris Oyuke, alisema sekta ya umeme na maji imekua kwa...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Obama: Uchumi wa Afrika umeimarika sana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
5 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA ZANZIBAR
9 years ago
VijimamboRais wa Zanzibar Dk Shein Azindua Mfuko wa Maendeleo ya Zao la Karafuu Zanzibar
9 years ago
GPLMGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6lhUS6SgJiI/XmD1_eSTwLI/AAAAAAALhNs/6uznIcNLYZEvDB6w6IGOdNzmQcs1us25gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC7911AAA-768x439.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1qA0AM7-f3o/VPxiYE1iWhI/AAAAAAABngY/nLoJ4Kd9ob8/s72-c/7193.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DR MOHAMED SHEIN AFANYA UFUNGUZI WA HOTEL YA HYATT ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-1qA0AM7-f3o/VPxiYE1iWhI/AAAAAAABngY/nLoJ4Kd9ob8/s1600/7193.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vANpW86A2pg/VPxicSAkwII/AAAAAAABngg/1G-V0ZC3VgA/s640/7183.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Vijana wa CCM Zanzibar Waunga mkono hotuba ya Rais wa Zanzibar Dk Shein
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/137.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/410.jpg)