Rais wa Zanzibar Dk Shein Azindua Mfuko wa Maendeleo ya Zao la Karafuu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizundua Mfuko wa Maendeleo ya Zao la Karafuu Zanzibar kwa kukata utepe kuashiria kuzindua Mfuko huo na kukabidhi Shirika la Bima Zanzibar Cheki ya shilingi milioni 60 kwa ajili ya mfuko huo kulipa Bima kwa Wakulima watakaoanguka katika mikarafuu wakati wa uchumaji.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheki ya shilingi milioni 60 Mkurugenzi Mtendaji wa SAhirika la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pl4pOG6wcNQ/VoPdp5uQguI/AAAAAAAIPZA/ieYHW3-E2Mc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS WA ZANZIBAR DKT. ALI MOHAMED SHEIN LEO AMETEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-pl4pOG6wcNQ/VoPdp5uQguI/AAAAAAAIPZA/ieYHW3-E2Mc/s1600/New%2BPicture.png)
Akizungumza na wananchi...
9 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AKABIDHI HUNDI KWAAJILI YA KUFIDIA WACHUMAJI WA KARAFUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-akTXyV3NpaU/Ve7TGoEufXI/AAAAAAAH3V8/rOv0c0N_FWo/s640/2-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s72-c/unnamed+(10).jpg)
ZSTC yastawisha upya zao la karafuu, Zanzibar.
![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s1600/unnamed+(10).jpg)
Zanzibar ni visiwa vinavyosifika kwa uzalishaji wa karafuu bora duniani. Katika miaka 30 ya nyuma pia ilisifika kwa uzalishaji karafuu nyingi, wastani wa tani 8,605 zilikuwa zikizalishwa kwa mwaka.
Jamii ya wakati huo walikuwa wakizijali, wakizithamini na wakizipenda sana karafuu ukilinganisha na kizazi cha sasa. Walihakikisha karafuu zao wakiuza vituoni tena zinakuwa safi, zimekauka vizuri na zinapata daraja la kwanza.
Katika miaka hiyo zao la karafuu lilikuwa ndiyo tegemeo kubwa la pato...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7rbVGi8fN1o/Vmak6Mgol_I/AAAAAAAIK28/fwRt6OHp3mo/s72-c/IMG_5263.jpg)
MAKALA: Zao la Karafuu laweza kuwa uti wa mgongo wa Uchumi Zanzibar
Kuimarisha Zao la Karafuu ni sawa na kuimarisha Uchumi na Maendeleo ya nchi, jitihada za Wadau ni muihimu ili kufika lengo la Serikali la kuifanya Sekta ya Zao la Karafuu kuwa uti wa mgongo wa Uchumi liweze kufikiwa.
Kutokana na umuhimu wa Sekta ya Karafuu kwa Maendeleo ya Uchumi Serikali imefanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo kwa lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa Wakulima na Taifa kwa jumla.
Katika utekelezaji wa Mageuzi hayo yaliyoanza mwaka...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K_SUvxE3rfk/U7xZPLY4b7I/AAAAAAAFzDE/UpIg_cvZ2Ds/s72-c/unnamed+(31).jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN ATEMBELEA PEMBA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-K_SUvxE3rfk/U7xZPLY4b7I/AAAAAAAFzDE/UpIg_cvZ2Ds/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K7e_J8vudQ0/U7xZO7RuJqI/AAAAAAAFzDw/56k4a79xWhg/s1600/unnamed+(32).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC6355AA-1024x599.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s640/DSC6355AA-1024x599.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6357AA-1024x613.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6365AA-1024x606.jpg)