Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikopo yayumbisha uchumi wa Afrika

Ripoti mpya imeonya kwa uthabiti wa uchumi wa mataifa yaliyo kusini mwa jangwa la Sahara, unatishiwa na kushuka kwa thamani ya pesa pamoja na ongezeko katika kiwango cha mataifa hayo kukopa pesa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WALIOCHAPISHA TANGAZO LA MIKOPO LINALOSEMA 'JANET MAGUFULI SACCOS' WAFIKISHWA KORTINI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI


Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

MWANAMKE Masse Uledi (43) ambaye ni Mkazi wa Kitunda Magore na mfanyabiashara Nkinda Shekalage (34), anayeishi Tegeta wazo wamewamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  jijini Dar es salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi.

Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka matatu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Augustina Mmbando ambayo ni kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha fedha.

Katika hati ya mashtaka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona Afrika: 'Hakuna muda wa kunasua uchumi wa Afrika' dhidi ya corona

Chumi nyingi za mataifa ya Afrika zimekuwa zikiimarika Many kabla ya kuibuka kwa janga la corona - hali hiyo huenda ikabadilika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Xi Jinping: China kufuta mikopo isiokuwa na riba kwa mataifa ya Afrika

China itafuta mikopo isio na riba miongoni mwa mataifa ya Afrika ambayo inakaribia kuanza kulipwa mwisho wa mwaka huu 2020, rais Xi Jinping ametangaza.

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Afrika(BOA Bank) yapigia chapuo matumizi bora ya mikopo

Na Mwandishi wetu, BagamoyoWATANZANIA wametakiwa kujenga tabia ya kukopa na kurejesha kwa wakati mikopo katika taasisi za fedha kwani huo ni msingi muhimu wa kujipatia maendeleo kwa mtu binafsi na katika ngazi ya taasisi pia.
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Afrika, Bw. Mussa Mwachaga amesema mwishoni mwa juma wakati akikabidhi msaada wa Tsh. milioni 10 kwa shule ya Sekondari ya Baobab kuwa uaminifu katika kurejesha mikopo huleta maendeleo ya haraka kwa watu binafsi na taasisi mbalimbali.
“Hili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marais wastaafu wajadili uchumi wa Afrika

MARAIS wastaafu sita kutoka barani Afrika walikutana mwishoni mwa wiki katika mdahalo wa kujadili mwelekeo wa uchumi wa nchi za bara hilo na watu wake. Mdahalo huo wa siku moja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama: Uchumi wa Afrika umeimarika sana

Rais Obama amesifu uwezo wa biashara na uchumi wa bara Afrika kwenye hotuba yake ya kwanza tangu aingie nchini Kenya siku ya Ijumaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mgomo wayumbisha Uchumi Afrika Kusini

Mazungumzo yaliyonuiwa kumaliza mgomo wa zaidi ya miezi 4, katika sekta ya madini Afrika kusini yamefeli, hivyo kuathiri Uchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utalii kukuza uchumi nchi za Afrika

KATIKA  kukuza  soko la utalii hivi karibuni  Afrika Kusini ilifungua ofisi mjini Lagos nchini Nigeria. Ufunguzi wa ofisi hiyo ni ishara ya mwingiliano wa utalii baina ya nchi za Kiafrika ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa Afrika kupigwa msasa Msumbiji

Shirika la fedha duniani, IMF, leo linazindua kongamano la ngazi ya juu kuzungumzia maswala ya ukuaji wa Uchumi barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani