KAMPENI YA KUPAMBANA NA UGONJWA WA INI KUZINDULIWA RASMI IJUMAA HII
MKURUGENZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo, na wadau mbalimbali wa afya leo walizungumzia madhara ya ugonjwa hatari wa homa ya ini kwenye mkutano na wanahabari uliofanyika Hospital ya Mkoa wa Ilala, Amana Jijini Dar. Uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa huo hatari utafanyika Ijumaa Machi 7, mwaka huu.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA IJUMAA
11 years ago
GPLSAID MECKY SADICK AZINDUA RASMI KAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI AMANA, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt5mVNlmH4kUIBvcycIyMCosy6czruRb3gP-QzVc7jiZ0cA5f7Mn0f3DN1P2cLBsFuaQv3ZfIMK-SaI493apIJlN/waziri.jpg?width=650)
KAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA KESHO
11 years ago
GPLKAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--LwqXdCXcsI/XsbN0rkAasI/AAAAAAAEHSg/VQfU39Q7BTAFPsjRbu_dsH6t_jfvW45pQCLcBGAsYHQ/s72-c/e410a583-9839-4a22-94e3-795f60f59157.jpg)
TECNO SPARK 5, SIMU YENYE KAMERA 5 KUZINDULIWA IJUMAA HII
Akizungumza kwa njia ya simu leo jijini Dar es Salaam, afisa masoko wa TECNO mtandaoni Bi. Salma Shafii amethibitisha kuwa ni kweli simu hiyo itazinduliwa Ijumaa kwa njia ya mtandao.
“TECNO SPARK 5 ni simu ambayo ina kamera 5 tunatarajia...
9 years ago
MichuziFILAMU MPYA 'GOING BONGO' KUZINDULIWA RASMI IJUMAA CENTURY CINEMAX MLIMANI CITY JIJINI DAR
Akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi huo mtunzi na muandishi ambaye pia ameisimamia katika kuitengeneza na kuigiza filamu hiyo, Ernest Napoleon alisema,
“Naamini kuonyeshwa kwa filamu hii kutaandika historia...
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kampeni ya ‘Wazazi Nipendeni’ kuzinduliwa rasmi leo viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar
Mshauri wa masuala ya Malaria kutoka Taasisi ya Jhpiego, Jasmin Chadewa (kushoto), akitoa huduma ya kumpa dawa ya vitamini A, mtoto Rahim Simai, viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi ikiwa ni utoaji huduma wa elimu ya afya kwa wajawazito na matumizi ya dawa aina ya SP, upimaji wa malaria pamoja na matumizi ya vyandarua kama muendelezo wa huduma za afya ya mama mjamzito na mtoto kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili wa Kampeni ya Wazazi Nipendeni utakaofanyika kesho katika...