SAID MECKY SADICK AZINDUA RASMI KAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI AMANA, DAR
Mkuu wa Mkoa wa Dar, Said Mecky Sadick akizundua rasmi kampeni ya kupambana na ugonjwa hatari wa Homa ya Ini. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo akielezea madhara ya ugonjwa wa Homa ya Ini wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA JIJINI DAR
Mganga Mkuu Hospitali ya Amana, Dk. Meshack Shimwela, akielezea madhara ya ugonjwa wa Homa ya Ini. Shigongo akiwaomba wadau mbalimbali kupambana dhidi ya ugonjwa wa Homa ya Ini.…
11 years ago
GPL05 Mar
KAMPENI YA KUPAMBANA NA UGONJWA WA INI KUZINDULIWA RASMI IJUMAA HII
MKURUGENZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo, na wadau mbalimbali wa afya leo walizungumzia madhara ya ugonjwa hatari wa homa ya ini kwenye mkutano na wanahabari uliofanyika Hospital ya Mkoa wa Ilala, Amana Jijini Dar. Uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa huo hatari utafanyika Ijumaa Machi 7, mwaka huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7U-JG7rftqRKoNGHDcm*Qy6bzMw8ugJ78sZdhGEI0H0k7slmoD3xccSEYlEmO09OHR3mxCT*sdaKJD-Z7VDRr3D7epF22EgV/hepatitiss2personwithjaundice.jpg?width=650)
KWA NINI GLOBAL PUBLISHERS IMEAMUA KUPAMBANA NA HOMA YA INI?
Mgonjwa mwenye Hepatitis B ngozi na macho yake vikiwa vya njano. Na Mwandishi Wetu
Taifa la Tanzania lipo kwenye hatari kubwa. Hepatitis B (homa ya ini) ni janga la kitaifa na dunia kwa jumla. Nchi yetu (Tanzania) ipo Kusini ya Jangwa la Sahara, eneo ambalo kijiografia ndilo hatari zaidi ulimwenguni kwa maambukizi. Ni ugonjwa hatari ambao hauna tiba ya moja kwa moja lakini kinga ipo. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba wananchi...
11 years ago
GPLKAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA IJUMAA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo. KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B itazinduliwa rasmi keshokutwa Ijumaa, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala – Amana, Dar. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers ambayo ndiyo inayoendesha kampeni hiyo, Eric Shigongo alisema, kama kampuni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt5mVNlmH4kUIBvcycIyMCosy6czruRb3gP-QzVc7jiZ0cA5f7Mn0f3DN1P2cLBsFuaQv3ZfIMK-SaI493apIJlN/waziri.jpg?width=650)
KAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA KESHO
Makala:Â Mwandishi Wetu
KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B itazinduliwa rasmi kesho Ijumaa, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala–Amana, jijini Dar es Salaam. Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini alipoongea na wanahabari (hawapo pichani) jana.
Akizungumza na Amani, Mkurugenzi Mtendaji wa...
11 years ago
GPLWADAU WAONGEZEKA KAMPENI YA HOMA YA INI
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo. Stori: Mwandishi Wetu
Kampeni iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd ya mapambano dhidi ya homa ya Ini (hepatitis B), imepokelewa kwa mikono miwili baada ya wadau muhimu katika sekta ya afya kujitokeza. Taasisi za Damu Salama, SD Afrika na Sanofi Pasteur, wamejitokeza kuungana na Global kuhakikisha kuwa homa hiyo inatokomezwa nchini....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9FAJVCy7wrG4Wa4wFyJhXSFa9m7I6xzm4LmFjhvGBcmZF*zGfQ9DpKKNgFoxc143jcKQqVcoYPh-5ToydmbM2Pt/SHIGONGO.jpg?width=650)
SHIGONGO ASISITIZA KAMPENI YA KUTOKOMEZA HOMA YA INI
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo. Kampeni ya kutokomeza homa ya ini (Hepatitis B), iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, imewekewa wigo mpana wa kufika nchi nzima. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, alimweleza mwandishi wetu kuwa kampeni hiyo imeanzishwa kwa nia ya dhati kabisa ya kumkomboa Mtanzania dhidi ya ugonjwa huo, kwa hiyo mipango imara...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2x0ldVFhnPURXtum9Eporxu*NHJRZuzJR7WjNj-rzJXKpxIz-AKVpNtG5gXByQEuGx4Hm78OXLvTm9bPmX4Ppg/homa.jpg?width=650)
WAZIRI WA AFYA KUZINDUA KAMPENI YA HOMA YA INI MACHI 7
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni ya homa ya ini (Hepatitis B) ambayo inaratibiwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd inayochapisha Magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Amani, Ijumaa Wikienda na Championi. Global Publishers, tayari imeshaanzisha mbio za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania