MAMA KANUMBA: SITAACHA KUMUENZI MWANANGU!
![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRNuYV7z4RaF1wy20diKojuRwwJBEPfWHkrWENEZkX2OzyVZFeJMblpA*Y-Bozffi2iKPp9tjUw1fP-d-b-O--XS/FrolaMtegoa.jpg)
Mama mzazi wa aliyekuwa muigizaji maarufu nchini, Marehemu Steven Charles Kanumba, Flora Mtegoha, 'Mama Kanumba'. BAADA ya jina la aliyekuwa msanii nguli wa filamu Tanzania, Marehemu Steven Kanumba, kuonekana kupotea taratibu, mama mzazi wa msanii huyo, Flora Mtegoha amefunguka kuwa hataacha kumuenzi mwanaye siku zote za maisha yake. Akipiga stori na Amani, mama Kanumba alisema kuwa japokuwa watu wataendelea kumsahau mwanaye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R1JNhP9yEYoPJmeRmqKrsXpOqW*kEFiabuw*hyz6BK6lDDco0QKtmnUsO*w3FXhErL12Z1Lze4UWaBepF3-LA6L/mamakanumba.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA: SIJAONA STAA WA KUMFANANISHA NA MWANANGU
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
PHD aungana na Wazambia kumuenzi Kanumba
STAA wa filamu, Hemed Suleiman ‘PHD’ amerejea nchini juzi akitokea Zambia alikokuwa akitengeneza filamu na wasanii wa huko kwa ajili ya kumuenzi nguli wa filamu za Bongo, marehemu Steven Kanumba....
10 years ago
Bongo Movies12 Mar
Steps Kutoa Hizi Mbili Kumuenzi Kanumba
Kampuni kubwa ya usambazaji wa filamu, Steps Entertainment hivi karibuni itatoa filamu mbili za marehemu Steven Charles Kanumba kwa lengo la kumuenzi nyota huyo wa filamu.
Filamu hizo ni YAMENIKUTA ambayo inatoka mwezi huu wa tatu mwishoni pamoja na RIZIKI inayotarajia kutoka mwezi ujao siku chache kabla ya kufikia siku ya kumbukumbu ya kifo chake
Wadau tukae mkao wa kula.
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
Baba Kanumba: Mwanangu Angetumika na CHADEMA
Baba wa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Charles Kanumba, amesema kuwa anaamini kama mwanaye angekuwa hai hadi sasa basi angekuwa mwanasiasa maarufu nchini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Akizungumza kwa njia ya simu akiwa kijijini kwao Shinyanga, Charles alisema, japo imepita miaka kadhaa tangu kutokea kwa kifo cha mwanaye huyo, bado anawaza ni namna gani angeweza kuleta maendeleo kwa Watanzania.
“Mwanangu alikuwa na ndoto kubwa ya kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-faZa9nrytps/UxjleLouAuI/AAAAAAAFRl0/QjRtIwR2UkI/s72-c/New+Picture+(10).png)
KAMPUNI YA KUMUENZI MAREHEMU STEVIN KANUMBA KUZINDULIWA APRIL 7, 2014 JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-faZa9nrytps/UxjleLouAuI/AAAAAAAFRl0/QjRtIwR2UkI/s1600/New+Picture+(10).png)
Uzinduzi huo utaenda sambamba na maadhimisho ya miaka miwili tokea kufariki kwa marehemu Kanumba ambaye alifariki dunia Aprili 7.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mama mzazi wa marehemu Kanumba, Flora Mtegoa alisema kuwa wameamua kuanzisha taasisi hiyo ili kuendelea kumuenzi mtoto wake na kuendeleza...
10 years ago
Bongo Movies18 Feb
Mama Kanumba Awa Mbogo, Kisa Ofisi ya Kanumba…!
KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo.
Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni jambo langu siyo lazima niliweke wazi, kama kampuni imekufa au itaendelea haiwahusu, wanaoamini imekufa waamini hivyo, maana hata Yesu walisema atarudi hadi leo mbona hajarudi?...
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
MAMA KANUMBA: Skendo ya Kanumba iliyonitesa ni ya Ung'eng'e
Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ambaye kwasasa ameingia kwenye tasnia ya filamu hapa nchini amefunguka kuwa hakuna skendo ambayo ilimsononesha kama ile ya mwanaye huyo kuambiwa hajui Kiingereza .
Mama Kanumba alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalum na Mwandishi Wetu : “Eti Kanumba hajui Kiingereza , hili lilinishtua sana nikalipinga kwa nguvu zote sababu najua mwanangu hata shule alikuwa kichwa, ” alisema mama Kanumba .
Skendo ya kudaiwa kutozungumza Kiingereza...
10 years ago
Bongo514 Jan
Mama Kanumba asikitishwa na wasanii pamoja na wadau wa filamu kususia uzinduzi wa kitabu cha Kanumba