Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule ya msingi Misufini yafikisha miaka 40, yakabiliwa na changamoto kubwa

IMG_0016 

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akikagua Mazingira Mbalimbali ya Shule ya Msingi Misufini. kwenye Sherehe za Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini Iliyopo Manispaa ya Morogoro.Katika Maadhimisho Hayo Mbunge wa Jimbo Hilo alifanya Ukaguzi na Kuikuta Shule Hiyo Ikiwa Katika Hali Mbaya Vyumba vya Madarasa ni Chakavu,Havina Milango Wala Madirisha Licha Ya shulie Hiyo Kuafulisha wanafunzi kwa Kiwango Kikukbwa Ndani ya Wilaya ya Morogoro Mjini. 

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHULE YA MSINGI MISUFINI YAFIKISHA MIAKA 4O,YAKABILIWA NA CHANGAMOTO KUBWA,AICHANGIA MILIONI 4


   Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akikagua Mazingira Mbalimbali ya Shule ya Msingi Misufini. kwenye Sherehe za Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini Iliyopo Manispaa ya Morogoro.Katika Maadhimisho Hayo Mbunge wa Jimbo Hilo alifanya Ukaguzi na Kuikuta Shule Hiyo Ikiwa Katika Hali Mbaya Vyumba vya Madarasa ni Chakavu,Havina Milango Wala Madirisha Licha Ya shulie Hiyo Kuafulisha wanafunzi kwa Kiwango Kikukbwa Ndani ya Wilaya ya Morogoro Mjini.


 

10 years ago

Michuzi

SHULE YA MSINGI MISUFINI YAFIKISHA MIAKA 4O,YAKABILIWA NA CHANGAMOTO KUBWA,MBUNGE AZIZ ABOOD AICHANGIA MILIONI 4

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akiongea kwenye Sherehe za Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini Iliyopo Manispaa ya Morogoro.Katika Maadhimisho Hayo Mbunge wa Jimbo Hilo alifanya Aliongoza Harambee Nas Jumla ya Shilingi Millioni 5.8 Zilichangwa Ambapo Yeye Alichangia Jumla ya Shilingi Milioni 4.5   Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akikagua Mazingira Mbalimbali ya Shule ya Msingi Misufini. kwenye Sherehe za Mazimisho ya...

 

9 years ago

Michuzi

NSSF YAADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU KWA KUFANYA USAFI SHULE YA MSINGI TANDALE

Wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Hifadi ya Jamii (NSSF) wakishiriki kufanya usafi katika Shule ya Msingi Tangale Magharibi kwa kuondoa Maji Taka ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mika 54 ya Uhuru wa Tanganyika.Wafanyakazi wa NSSF wkiadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika wakifanya usafi wa mazingira katika Shule ya Msingi Tandale Magharibi, Jijini Dar es Salaam leo.Maofisa wa NSSF wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanya usafi katika Shule ya Msingi Tandale Magharibi leo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

SAWAKA yakabiliwa na changamoto lukuki

SHIRIKA la Saidia Wazee Karagwe (SAWAKA), Mkoa wa Kagera, linakabiliwa na  changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma za afya, ushirikina, ukosefu wa vipato na kukosekana kwa mfuko wa jamii ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HUYU NDIO MWANAFUNZI MZEE ZAIDI DUNIANI ANAYESOMA SHULE YA MSINGI, ANA MIAKA 90

Gogo akiwa darasani na wanafunzi wenziwe.
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani. 
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake.Prissilla alijiunga na shule hii ya...

 

9 years ago

StarTV

Mapambano Dhidi Ya Rushwa Takukuru yakabiliwa na changamoto ya mashahidi

 

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mtwara imesema bado changamoto ya upatikanaji wa mashahidi katika kesi mbalimbali imeendelea kuwepo kutokana na mashahidi wengi kushindwa kujitokeza na wengine kubadilika kutokana na kuogopa vitisho kutoka kwa watuhumiwa.

Kutokana na changamoto hiyo kesi nyingi zinalazimika kufutwa na nyingine kubadilika.

Mkuu wa Taasisi  kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru wa Mkoa wa Mtwara Edson Makala  anasema Baadhi ya kesi zilalazimika...

 

10 years ago

StarTV

Kesi zinazohusu Kemikali, Ofisi ya Mkemia mkuu yakabiliwa na changamoto.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Mkemia mkuu wa serikali Profesa Samwel Manyele amesema kuwa bado ofisi yake inakabiliwa na changamoto ya uchukuaji wa vielelezo pindi kunapojitokeza kesi zinazohusishwa na kemikali za mbalimbali ikiwemo dawa za kulevya kutokana na uhifadhi wa unaotumika kutoka katika eneo la tukio.

 

Profesa Manyele aliyasema hayo katika ufunguzi wa ofisi ya mkemia mku itakayofanyakazi katika mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ajili ya kusogeza huduma kwa wananchii.

 

Katika...

 

11 years ago

Michuzi

SHULE YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VYOO

 Diwani wa kata ya Mgama Denis Lupala akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mgama wakati alipowatembelea na kula pamoja chakula cha mchana.  Diwani wa kata ya Mgama Denis Lupala akizungumza na mwalimu mkuu wa shule hiyo Simeone Lihuluku.   Diwani wa kata ya Mgama, Denis Lupala akimpakulia chakula mmoja wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mgama wakati alipowatembelea na kula pamoja chakula cha mchana baadhi ya wanafunzi shule ya sekondari ya Mgama wakiwa katika foleni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani