Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahisani wakubali kuchangia bajeti

Saada Mkuywa Naibu Waziri wa FedhaSHAMIMU MATTAKA (DACICO)
HATUA zilizochukuliwa na serikali dhidi ya waliochota zaidi ya Sh bilioni 200 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zimesaidia Tanzania kukubaliwa kupewa Sh bilioni 71 na wahisani wa Maendeleo katika bajeti ijayo ya 2015/2016.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema Dar es Salaam jana kwamba wahisani hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya watuhumiwa.
“Baada ya suala hilo Tanzania ilikuwa katika sura ambayo si nzuri lakini...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wahisani wajitoa kuchangia mapambano ya Ukimwi

KASI ya maambukizi ya Ukimwi Wilaya ya Moshi Vijijini imetajwa kuongezeka kutokana na mashirika yasiyo ya kiserikali kuacha kuwasaidia watoto yatima kutokana na nchi wahisani kuyafutia misaada mashirika hayo. Akizungumza...

 

9 years ago

Global Publishers

Tanzania ya Magufuli inaweza kusimamia bajeti bila wahisani

71d6pombeRais wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli.

Kasi aliyoingia nayo madarakani Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli imeendelea kuwa gumzo kila kona, ndani na nje ya nchi huku wadau wengi wakionesha kumpongeza hasa katika suala zima la kuhakikisha serikali yake inakusanya kodi kwa wingi na kuziba mianya yote ya ‘upigaji’ wa mali za umma uliokuwa umekithiri.

Ipo wazi kwamba mataifa yote makubwa yaliyoendelea duniani, ikiwemo Marekani na nchi nyingine za Ulaya,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Japan yaahidi kuendelea kuchangia Bajeti ya Tanzania

001

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Japan, Yoshihiro Suga, wakati alipofika ofisini kwake Jijini Tokyo Japan leo Mei 21, 2014, akiwa katika ziara ya kikazi. (Picha na OMR).

Mwandishi Maalum, Tokyo

Serikali ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya hivyo kwa kutambua kuwa Tanzania ni mshirika mkubwa wa maendeleo na kwamba ni nchi yenye kutia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahisani wafurahishwa na hotuba ya :JK

wahisani wa nchi zipatazo 12 ambazo zilisitisha misaada ya dola milioni 500 kwenye bajeti ya Tanzania zitaachilia dola bilioni 84 .

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahisani kuijadili hali ya Sudan:K

Norway imewapokea wafadhili hii leo katika mkutano unaojadili mikakati ya kuisaidia nchi ya Sudan kusini yenye mizozo

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wahisani waanza kumwaga misaada



Wakunwa na hatua dhidi ya vigogo Escrow
NA MUSSA YUSUPH
NCHI na mashirika wahisani wameanza mchakato wa kutoa fedha za msaada wa bajeti walizozizuia, kutokana na sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, baada ya kuridhika na hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahusika.
Fedha zitakazotolewa ni sh. bilioni 922, ambazo ni sehemu ya asilimia tano zitakazotumika kusaidia bajeti, ambapo kabla ya kuzuliwa, asilimia 20 ya fedha hizo, zilikuwa zimekwishatolewa kwa serikali.
Akizungumza...

 

11 years ago

Habarileo

Wahisani waanza kutekeleza ahadi

KILIO cha wabunge kuhusu baadhi ya wizara kukosa fedha kama zilivyoidhinishwa na Bunge katika Bajeti inayoisha, kimesikika ambapo mazungumzo kati ya Serikali na wahisani, yamezaa matunda kwa baadhi ya wahisani kukubali kutoa fedha hizo kabla la Juni 30, mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sahihisho:Wahisani bado wanaikaba Tanzania

Tunachukua fursa hii kurekebisha taarifa katika tovuti yetu yenye kichwa cha habari "Wahisani wafurahishwa na hotuba ya JK".

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Pinda azishangaa nchi wahisani

PG4A9702

Na Mwandishi wetu, Dodoma

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (pichani), amesema kuwa amesononeshwa na uamuzi wa wahisani kuikatia Serikali misaada ya sh trilioni moja kutokana na kashfa ya IPTL.

Pinda, alisema Serikali iko tayari kuwawajibisha watu wawili au zaidi watakaotajwa kuhusika kwenye kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow, zaidi ya sh bilioni 200, zilizohifadhiwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), lakini hakubaliani na uamuzi wa kukata misaada, kwani unaathiri watu wengi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani