Tanzania ya Magufuli inaweza kusimamia bajeti bila wahisani
Rais wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli.
Kasi aliyoingia nayo madarakani Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli imeendelea kuwa gumzo kila kona, ndani na nje ya nchi huku wadau wengi wakionesha kumpongeza hasa katika suala zima la kuhakikisha serikali yake inakusanya kodi kwa wingi na kuziba mianya yote ya ‘upigaji’ wa mali za umma uliokuwa umekithiri.
Ipo wazi kwamba mataifa yote makubwa yaliyoendelea duniani, ikiwemo Marekani na nchi nyingine za Ulaya,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Wahisani wakubali kuchangia bajeti
SHAMIMU MATTAKA (DACICO)
HATUA zilizochukuliwa na serikali dhidi ya waliochota zaidi ya Sh bilioni 200 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zimesaidia Tanzania kukubaliwa kupewa Sh bilioni 71 na wahisani wa Maendeleo katika bajeti ijayo ya 2015/2016.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema Dar es Salaam jana kwamba wahisani hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya watuhumiwa.
“Baada ya suala hilo Tanzania ilikuwa katika sura ambayo si nzuri lakini...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/Mmoja-wa-washiriki-wa-mjadala-wa-wazi-akichangia-mada.jpg)
WASHAURI KUUNDWA SHERIA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA BAJETI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhyQIjXJpVOcjkhnHEoLW8KSxxSHRWvmJkxiXRZxEC8AbK1J3dB15wiopkA*93r*IkFmESchXCsr7FegrTqOHU/mahaba.jpg?width=650)
UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Kasi ya Magufuli inaweza kuwaacha wengi njiani
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Sahihisho:Wahisani bado wanaikaba Tanzania
11 years ago
Dewji Blog17 May
Bajeti ya Wizara ya mambo ya ndani ya nchi yapita bila kupingwa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Naibu wake, Pereira Sirima (kulia) wakipongezwa na Wabunge baada ya bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma May 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Makambako, Deo Sanga (kushoto) na Mbunge wa Viti Maaliam, Lediana Mng’ong’o...
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Oktoba 25 inaweza kubadili historia ya Tanzania?
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Tanzania inaweza kuzipiku nchi za A. Mashariki kiuchumi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf0LuKzS2*QN*oQKntFRguncrk6NUlCoG6dNvW1mAJBnEePDla0cK577vGIZEkAnCYaS4UBHD1bIneJBzw-yfnMY/6WaziriMagufulikatikamtambo.jpg?width=650)
DK MAGUFULI AHAMIA MOROGORO KUSIMAMIA UJENZI DARAJA LA DUMILA LILILOSOMBWA NA MAJI