Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oktoba 25 inaweza kubadili historia ya Tanzania?

Oktoba 25, inaweza kuwa ndiyo siku muhimu kuliko zote mwaka huu kwa Watanzania. Hiyo inatokana na ukweli kwamba ni siku ambayo wananchi 22.75 milioni wanatarajiwa kupiga kura kuchagua viongozi watakaoiongoza nchi yetu kwa miaka mitano ijayo. Si ajabu kwamba kila Mtanzania anajua umuhimu wa Oktoba 25 ingawa wapo wanaojua zaidi. Wachambuzi wa mambo wanabashiri uwezekano wa kubadilisha historia ya nchi ya Tanzania kwa kupata kiongozi kutoka chama mbadala, mbali na CCM kinachotawala...

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania inaweza kuzipiku nchi za A. Mashariki kiuchumi

Mtangamano wa Afrika Mashariki umekuwapo kwa muda mrefu tangu wakati wa ukoloni, nchi ya Tanganyika, Kenya na Uganda zikiwa makoloni ya Uingereza.

 

9 years ago

Global Publishers

Tanzania ya Magufuli inaweza kusimamia bajeti bila wahisani

71d6pombeRais wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli.

Kasi aliyoingia nayo madarakani Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli imeendelea kuwa gumzo kila kona, ndani na nje ya nchi huku wadau wengi wakionesha kumpongeza hasa katika suala zima la kuhakikisha serikali yake inakusanya kodi kwa wingi na kuziba mianya yote ya ‘upigaji’ wa mali za umma uliokuwa umekithiri.

Ipo wazi kwamba mataifa yote makubwa yaliyoendelea duniani, ikiwemo Marekani na nchi nyingine za Ulaya,...

 

9 years ago

Bongo Movies

Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa Kwanza 1967 Katika Historia ya Tanzania

Mwaka
1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na
muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua
taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo. M’s Tanzania wa Kwanza (Hayati Theresa)

 

Kutokana na maadali na utamaduni ya mtanzania serikali ililazimika
kuyapiga marufuku mashindano hayo ilipofika tu mwaka 1967, kabla ya Rais
wa awamu ya pili Alhaj Ali...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vijana Tanzania walioamua kubadili mtizamo wa kazi ya uchuuzi wa mitaani

Ni Jambo la kawaida, unapokuwa unatembea mitaani katika nchi za Afrika kukutana na wachuuzi wa mtaani al maarufu wamachinga, kutokana na ukosefu wa ajira. Lakini Alexanda Manyika na Noah Jotum ni wamachinga wanaobadili mtizamo wa kawaida kuhusu wachuuzi hao

 

11 years ago

BBCSwahili

Historia ya Muungano wa Tanzania

Wiki hii Aprili 26 ,Tanzania inaadhimisha miaka 50 ya Muungano tangu nchi ya Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuzaa nchi ya Tanzania. Nchi hizi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar ziliungana April 26, mwaka 1964. Hii hapa historia ya Muungano huo

 

10 years ago

Mwananchi

Ijue historia ya Serikali za mitaa Tanzania-2

Serikali za mitaa ni chombo cha utawala wa umma, kilichopewa madaraka ya kuamua na kuendesha shughuli zake katika sehemu ndogo ya nchi au Taifa. Ifuatayo ni sehemu ya pili ya makala inayoelezea historia ya Serikali za mitaa Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Historia ya Serikali za Mitaa Tanzania — hitimisho

Serikali za Mitaa ni vyombo vya wananchi ambavyo kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huundwa, huendeshwa na huwajibika kwa wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania Top Models ilivyoandika historia

DESEMBA 7, mwaka huu, iliandikwa historia mpya katika fani ya uanamitindo hapa nchini, pale shindano la Tanzania Top Models lilipofanyika kwa mara ya kwanza. Shindano hilo limeasisiwa na Tanzania Top...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani