Historia ya Muungano wa Tanzania
Wiki hii Aprili 26 ,Tanzania inaadhimisha miaka 50 ya Muungano tangu nchi ya Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuzaa nchi ya Tanzania. Nchi hizi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar ziliungana April 26, mwaka 1964. Hii hapa historia ya Muungano huo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s72-c/IMGL0862.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s640/IMGL0862.jpg)
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UhcQEJn1XYQ/VHn9rV-JTnI/AAAAAAAG0Qk/TtyPew4En98/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--NUtSeEeMlM/UyFwKWGRJ_I/AAAAAAAFTUA/UNOxCiWGMHI/s72-c/New+Picture.png)
MAKUMBUSHO YA TAIFA KUENDELEA KUTOA MAFUNZO YA HISTORIA YA MUUNGANO ILI KUONDOA SINTO FAHAMU ILOYOPO
![](http://4.bp.blogspot.com/--NUtSeEeMlM/UyFwKWGRJ_I/AAAAAAAFTUA/UNOxCiWGMHI/s1600/New+Picture.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ro8U0QA4f0E/UyFwk146SKI/AAAAAAAFTUI/UzrGGHZqEPQ/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pyf0DYQukCc/UyFwlir6EcI/AAAAAAAFTUM/YM1NvNHyGSc/s1600/New+Picture+(2).png)
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa Kwanza 1967 Katika Historia ya Tanzania
1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na
muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua
taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHwNqr8Y6ko/VoPDvyXmpvI/AAAAAAAAPF0/p72Mg51KTEA/s1600/shayo67.jpg)
Kutokana na maadali na utamaduni ya mtanzania serikali ililazimika
kuyapiga marufuku mashindano hayo ilipofika tu mwaka 1967, kabla ya Rais
wa awamu ya pili Alhaj Ali...
9 years ago
Vijimambo12 Sep
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
13 Septemba, 2015Mpaka: Tarehe15 Septemba, 2015Aina ya Tukio...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s72-c/unnamed.jpg)
MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Shibuda: Wajumbe wafundishwe historia ya Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Tanzania Top Models ilivyoandika historia
DESEMBA 7, mwaka huu, iliandikwa historia mpya katika fani ya uanamitindo hapa nchini, pale shindano la Tanzania Top Models lilipofanyika kwa mara ya kwanza. Shindano hilo limeasisiwa na Tanzania Top...