Sahihisho:Wahisani bado wanaikaba Tanzania
Tunachukua fursa hii kurekebisha taarifa katika tovuti yetu yenye kichwa cha habari "Wahisani wafurahishwa na hotuba ya JK".
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Tanzania ya Magufuli inaweza kusimamia bajeti bila wahisani
Rais wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli.
Kasi aliyoingia nayo madarakani Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli imeendelea kuwa gumzo kila kona, ndani na nje ya nchi huku wadau wengi wakionesha kumpongeza hasa katika suala zima la kuhakikisha serikali yake inakusanya kodi kwa wingi na kuziba mianya yote ya ‘upigaji’ wa mali za umma uliokuwa umekithiri.
Ipo wazi kwamba mataifa yote makubwa yaliyoendelea duniani, ikiwemo Marekani na nchi nyingine za Ulaya,...
10 years ago
Habarileo12 Aug
SAHIHISHO
Katika gazeti letu la Jumapili kulikuwa na habari katika ukurasa huu isemayo ‘Vigogo CCM waanguka ubunge makundi maalum’.
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Wahisani wafurahishwa na hotuba ya :JK
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Wahisani waanza kumwaga misaada
Wakunwa na hatua dhidi ya vigogo Escrow
NA MUSSA YUSUPH
NCHI na mashirika wahisani wameanza mchakato wa kutoa fedha za msaada wa bajeti walizozizuia, kutokana na sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, baada ya kuridhika na hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahusika.
Fedha zitakazotolewa ni sh. bilioni 922, ambazo ni sehemu ya asilimia tano zitakazotumika kusaidia bajeti, ambapo kabla ya kuzuliwa, asilimia 20 ya fedha hizo, zilikuwa zimekwishatolewa kwa serikali.
Akizungumza...
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Wahisani wakubali kuchangia bajeti
SHAMIMU MATTAKA (DACICO)
HATUA zilizochukuliwa na serikali dhidi ya waliochota zaidi ya Sh bilioni 200 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zimesaidia Tanzania kukubaliwa kupewa Sh bilioni 71 na wahisani wa Maendeleo katika bajeti ijayo ya 2015/2016.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema Dar es Salaam jana kwamba wahisani hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya watuhumiwa.
“Baada ya suala hilo Tanzania ilikuwa katika sura ambayo si nzuri lakini...
11 years ago
Habarileo06 Jun
Wahisani waanza kutekeleza ahadi
KILIO cha wabunge kuhusu baadhi ya wizara kukosa fedha kama zilivyoidhinishwa na Bunge katika Bajeti inayoisha, kimesikika ambapo mazungumzo kati ya Serikali na wahisani, yamezaa matunda kwa baadhi ya wahisani kukubali kutoa fedha hizo kabla la Juni 30, mwaka huu.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wahisani kuijadili hali ya Sudan:K
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Kiboko cha fedha za wahisani kituzindue
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Wahisani wajitoa kuchangia mapambano ya Ukimwi
KASI ya maambukizi ya Ukimwi Wilaya ya Moshi Vijijini imetajwa kuongezeka kutokana na mashirika yasiyo ya kiserikali kuacha kuwasaidia watoto yatima kutokana na nchi wahisani kuyafutia misaada mashirika hayo. Akizungumza...