Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahisani wafurahishwa na hotuba ya :JK

wahisani wa nchi zipatazo 12 ambazo zilisitisha misaada ya dola milioni 500 kwenye bajeti ya Tanzania zitaachilia dola bilioni 84 .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wafurahishwa matokeo Tusiime

WAZAZI wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam, wamefurahishwa na matokeo ya shule hiyo ya darasa la saba mwaka huu na kuipongeza kwa kufanikiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Wafurahishwa na matokeo ya majaribio ya kuhifadhi nafaka

Mkuu wa Programu na mratibu wa P4P wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Marina NegroponteMAJARIBIO ya kuhifadhi nafaka kwa teknolojia isiyotumia kemikali iliyofanywa na Wakala wa Taifa wa hifadhi ya chakula (NFRA) mjini Dodoma yameonesha mafanikio makubwa na kutoa mwanya wa kuendelezwa kwa matumizi ya teknolojia hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Wafurahishwa na kuendelea kwa miradi ya barabara

WAKAZI wa mikoa ya Rukwa na Katavi wameipongeza Serikali kwa kutenga zaidi ya Sh bilioni 19 ili kunusuru ujenzi wa miradi mikubwa mitatu ya barabara kwa kiwango cha lami iliyosimama kwa miezi kadhaa kutokana na uhaba wa fedha.

 

10 years ago

Mtanzania

Wahisani wakubali kuchangia bajeti

Saada Mkuywa Naibu Waziri wa FedhaSHAMIMU MATTAKA (DACICO)
HATUA zilizochukuliwa na serikali dhidi ya waliochota zaidi ya Sh bilioni 200 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zimesaidia Tanzania kukubaliwa kupewa Sh bilioni 71 na wahisani wa Maendeleo katika bajeti ijayo ya 2015/2016.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema Dar es Salaam jana kwamba wahisani hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya watuhumiwa.
“Baada ya suala hilo Tanzania ilikuwa katika sura ambayo si nzuri lakini...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wahisani waanza kumwaga misaada



Wakunwa na hatua dhidi ya vigogo Escrow
NA MUSSA YUSUPH
NCHI na mashirika wahisani wameanza mchakato wa kutoa fedha za msaada wa bajeti walizozizuia, kutokana na sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, baada ya kuridhika na hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahusika.
Fedha zitakazotolewa ni sh. bilioni 922, ambazo ni sehemu ya asilimia tano zitakazotumika kusaidia bajeti, ambapo kabla ya kuzuliwa, asilimia 20 ya fedha hizo, zilikuwa zimekwishatolewa kwa serikali.
Akizungumza...

 

11 years ago

Habarileo

Wahisani waanza kutekeleza ahadi

KILIO cha wabunge kuhusu baadhi ya wizara kukosa fedha kama zilivyoidhinishwa na Bunge katika Bajeti inayoisha, kimesikika ambapo mazungumzo kati ya Serikali na wahisani, yamezaa matunda kwa baadhi ya wahisani kukubali kutoa fedha hizo kabla la Juni 30, mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahisani kuijadili hali ya Sudan:K

Norway imewapokea wafadhili hii leo katika mkutano unaojadili mikakati ya kuisaidia nchi ya Sudan kusini yenye mizozo

 

10 years ago

BBCSwahili

Sahihisho:Wahisani bado wanaikaba Tanzania

Tunachukua fursa hii kurekebisha taarifa katika tovuti yetu yenye kichwa cha habari "Wahisani wafurahishwa na hotuba ya JK".

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani