Mafunzo ya uwezeshaji kuhusu mabadiliko ya Tabianchi na athari zake yafanyika jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabianchi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Pius Yanda (wa pili kushoto) akifungua Mafunzo ya uwezeshaji kuhusu mabadiliko ya Tabianchi na athari zake kwa walimu wa somo la Jiografia kutoka Manispaa ya Kinondoni. Kushoto ni kiongozi wa walimu wanaopata mafunzo Mwl. Nesta Mwamfupe. Mafunzo hayo ya siku mbili yanafanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Walimu wa Shule za Msingi Manispaa ya Kinondoni wakisikiliza muwezeshaji wakati wa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
semina ya kikanda ya athari na changamoto zitokakanazo na mabadiliko ya tabianchi yafanyika singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mfgKawKwHhk/VJMQsIAZtoI/AAAAAAAG4RA/9aaa7VJd-A8/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 May
Mafuriko Dar es Salaam ni ushahidi wa athari za mabadiliko ya tabianchi
Hali ya mafuriko kama inavyoonekana eneo la Jangwani katika kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pfjuhfBHFo/VVnXOuABIXI/AAAAAAAAGjc/DZcwW1a5acc/s72-c/MAFURIKO.jpg)
FORUMCC: MAFURIKO DAR ES SALAAM NI USHAHIDI WA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pfjuhfBHFo/VVnXOuABIXI/AAAAAAAAGjc/DZcwW1a5acc/s640/MAFURIKO.jpg)
Watu zaidi ya 12 wameripotiwa kupoteza maisha mpaka sasa kutokana mafururiko hayo ambayo yameibua hisia na maswali mengi kutoka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4qKhrYtb_E/VCVFG1wxb0I/AAAAAAAGl5Y/k1FemJfwIpE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Awr0NeI5Byw/VCVFHz8QPpI/AAAAAAAGl5c/rTPajyTLcZ0/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9e4Eac_cIAw/VCVFJliGF9I/AAAAAAAGl5o/4GIRmOEjp-g/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
9 years ago
StarTV12 Nov
 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMkutano wa Mwaka wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wafanyika jijini Dar es Salaam
9 years ago
MichuziKONGAMANO LA MABADILIKO YA TABIANCHI LAFANYIKA KATIKA KIJIJI CHA MAKUMBUSHO,JIJINI DAR
Akizungumza Afisa Miradi Msaidizi wa Shirika la Forum CC,Jonathan Sawaya alisema asasi hizo zimeona ni vema kuwakilisha sauti za wakulima kwa serikali katika kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.
Alisema asilimia kubwa ya wakulima wengi...
10 years ago
MichuziMAANDAMANO YA AMANI YA WADAU WA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI YAFANYIKA LEO JIJINI DAR
Hayo ameyasema leo Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia Nchi Tanzania (CAN),Sixbaty Mwanga wakati wa matembezi ya amani ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi yaliyofanyika viwanja vya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Amesema mabadiliko ya tabia...