FORUMCC: MAFURIKO DAR ES SALAAM NI USHAHIDI WA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pfjuhfBHFo/VVnXOuABIXI/AAAAAAAAGjc/DZcwW1a5acc/s72-c/MAFURIKO.jpg)
Mvua zinazoendelea kunyesha nakusababisha mafuriko na hasara kubwa jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini zimetajwa kuwa ni moja ya ushahidi wa udhaifu wa miundombinu ya kweza kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi ambayo ni janga kubwa duniani kwa sasa. Haya yalisemwa na FORUMCC; shirika linalijihusisha na masuala ya mabadiliko ya Tabianchi.
Watu zaidi ya 12 wameripotiwa kupoteza maisha mpaka sasa kutokana mafururiko hayo ambayo yameibua hisia na maswali mengi kutoka kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 May
Mafuriko Dar es Salaam ni ushahidi wa athari za mabadiliko ya tabianchi
Hali ya mafuriko kama inavyoonekana eneo la Jangwani katika kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Mafunzo ya uwezeshaji kuhusu mabadiliko ya Tabianchi na athari zake yafanyika jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jiZC_HRXRYk/U_8VPHLTTuI/AAAAAAAGKv0/0qQwqP-u7Jc/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1vh1Srn0sKE/U_8VPDptrWI/AAAAAAAGKvw/1BT72dm6tv4/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
9 years ago
MichuziMANISPAA YA ILALA WASHIRIKIANA NA FORUMCC KUANZISHA MFUKO WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI.
Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira Manispaa ya Ilala, Abdon Mapunda anasema baada ya kukamilisha zoezi la ukusanyaji wa maoni ya wadau wa mazingira, mfuko huo utaanza mara moja kabla ya mwaka 2015 kumalizika
Wakati Manispaa ya Ilala ikiwa...
10 years ago
Dewji Blog10 Jan
FORUMCC yatoa mrejesho wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi COP20
Taasisi isiyo ya kiserikali ya ForumCC imetoa mrejesho wa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabia nchi duniani wa COP20 uliofanyika mwezi Desemba jijini Lima nchini Peru mwaka jana.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijni Dar es salaam Afisa Miradi wa ForumCC Fazal Issa amesema wanachama wa mkutano huo wamekubaliana kusaini mkataba mwaka huu jijini Paris Ufaransa wenye lengo la kupunguza gesi joto duniani na kusaidia upatikanaji wa rasilimali fedha na teknolojia katika...
10 years ago
MichuziMkutano wa Mwaka wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wafanyika jijini Dar es Salaam
9 years ago
StarTV12 Nov
 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
semina ya kikanda ya athari na changamoto zitokakanazo na mabadiliko ya tabianchi yafanyika singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mfgKawKwHhk/VJMQsIAZtoI/AAAAAAAG4RA/9aaa7VJd-A8/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
NEMC: Mabadiliko ya tabianchi yanachochea ukame, mafuriko
MABADILIKO ya tabianchi sasa ndio tishio kubwa kwa ustawi wa maisha ya binadamu na kwa maendeleo endelevu. Athari zake zimekwishaonekana katika mazingira, afya, upatikanaji wa chakula, utalii, maliasili, miundombinu na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ew9lsJazTC4/Xm_dvnO7KqI/AAAAAAALkAY/JswAr-Zvo78Qi_qGzWBrAYoNgDAPj8w9QCLcBGAsYHQ/s72-c/52190608_303.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAUNGANA WILAYANI ILALA KWA AJILI YA KUJENGA NGUVU YA PAMOJA ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.
Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi na uwezo wa kuripoti...