Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TABIANCHI (CLIMATE CHANGE):Yaweka Hifadhi za Tanzania Hatarini kutoweka

UD ONEMwanahabari na blogger wa mtandao wa modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katika geti  kuu la kuingilia katika ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa zilizopo eneo la Mang’ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, Tanzania. Alipokuwa katika habari za Utafiti jinsi  ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri mbuga na hifadhi za Taifa nchini (How  Climate Change Effect The National Parks in Tanznia) hivi karibuni (Picha na modewjiblog).

TABIANCHI YAWEKA HIFADHI ZA TANZANIA HATARINI

Na Andrew...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TABIANCHI YAWEKA HIFADHI ZA TANZANIA HATARINI

UD ONEMwanahabari na blogger wa mtandao wa modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katika geti kuu la kuingilia katika ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa zilizopo eneo la Mang'ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, Tanzania. Alipokuwa katika habari za Utafiti jinsi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri mbuga na hifadhi za Taifa nchini (How Climate Change Effect The National Parks in Tanznia) hivi karibuni (Picha na modewjiblog)udzungwa1Eneo la kuingia katika Hifadhi na makao makuu ya hifadhi ya...

 

9 years ago

GPL

TABIA NCHI YAWEKA HIFADHI ZA TANZANIA HATARINI

Mwanahabari na blogger wa mtandao wa modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katika geti kuu la kuingilia katika ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa zilizopo eneo la Mang'ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, Tanzania. Alipokuwa katika habari za Utafiti jinsi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri mbuga na hifadhi za Taifa nchini (How Climate Change Effect The National Parks in Tanznia) hivi karibuni. Eneo la kuingia...

 

10 years ago

Habarileo

Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka

Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud MgimwaHIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.

 

11 years ago

Michuzi

Semina ya Wabunge Marafiki wa Mazingira kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Change)

Chama cha Wabunge Marafiki wa Mazingira (TAPAFE),kwa kushirikiana na Baraza la Usimamizi wa Mazingira,na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa(UNEP),wameandaa semina kwa ajili ya wajumbe wa chama hicho mjini Dodoma,jumamosi tarehe 14 Juni 2014 na jumapili tarehe 15 Juni 2014 kuhusu Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika Maendeleo ya Nchi. Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais,Prof. Mark Mwandosya akitoa mada Kuhusu Changamoto za Mazingira ya Bonde la Ziwa Victoria na Bonde la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) yanavyoleta wimbi la magonjwa na wadudu kwenye zao la mahindi

DSC_0459

Mkuu wa mradi wa utafiti Dk. Paul-Andre Calatayud, kutoka IRD/icipe, (kulia) akiwa tolea maelezo juu ya mdudu anayeharibu zao la mahindi, stem borer (Bungu/viwavi/funza) kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) katika eneo la kijiji cha Kipuzi kwenye Kaunti ya Taita Taveta, Mombasa nchini Kenya.Kushoto kwake ni Joel ambaye ni mwenye shamba hilo lililo katika utafiti huo.

Na Andrew Chale, aliyekuwa Mombasa, Kenya

Imefahamika kuwa mimea mingi hasa mazao ya chakula inaandamwa na magonjwa ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kahawa ya Tanzania hatarini kutoweka

Zao la Kahawa nchini Tanzania huenda likatoweka kabisa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

 

9 years ago

TheCitizen

Tanzania should do its bit on climate change

There were repeated calls this past week to save the glaciers on top of Mount Kilimanjaro that have been melting at an alarming rate. There is no denying that Africa’s Rooftop, as Mt Kilimanjaro is affectionately known, has seen a fair share of its snow vanish following decades of environmental degradation and global warming.

 

10 years ago

NFL News And Rumors

Tanzania needs over $1 billion for climate change


Daily News
Tanzania needs over $1 billion for climate change
NFL News and Rumors
DAR ES SALAAM, Tanzania - The government has established that it needs massive financial support to the tune of over $1 billion annually by 2030 coupled with technological support to address climate change adaptation, a feature also approved by the ...
Tanzania wants single EAC climate lawEast African Business Week

all 6

 

10 years ago

East African Business Week

Tanzania Needs Over U.S.$1 Billion for Climate Change


Tanzania Needs Over U.S.$1 Billion for Climate Change
East African Business Week
Dar es Salaam — The government has established that it needs massive financial support to the tune of over $1 billion annually by 2030 coupled with technological support to address climate change adaptation, a feature also approved by the Tanzania ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani