TABIANCHI YAWEKA HIFADHI ZA TANZANIA HATARINI
Mwanahabari na blogger wa mtandao wa modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katika geti kuu la kuingilia katika ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa zilizopo eneo la Mang'ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, Tanzania. Alipokuwa katika habari za Utafiti jinsi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri mbuga na hifadhi za Taifa nchini (How Climate Change Effect The National Parks in Tanznia) hivi karibuni (Picha na modewjiblog)
Eneo la kuingia katika Hifadhi na makao makuu ya hifadhi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Sep
TABIANCHI (CLIMATE CHANGE):Yaweka Hifadhi za Tanzania Hatarini kutoweka
Mwanahabari na blogger wa mtandao wa modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katika geti kuu la kuingilia katika ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa zilizopo eneo la Mang’ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, Tanzania. Alipokuwa katika habari za Utafiti jinsi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri mbuga na hifadhi za Taifa nchini (How Climate Change Effect The National Parks in Tanznia) hivi karibuni (Picha na modewjiblog).
Na Andrew...
10 years ago
GPL
TABIA NCHI YAWEKA HIFADHI ZA TANZANIA HATARINI
10 years ago
Habarileo23 Dec
Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka
HIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.
5 years ago
MichuziTANZANIA YAWEKA WAZI MIKAKATI KUFANIKISHA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA NISHATI UKANDA WA SADC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) alipowasili kufungua Mkutano huo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere, leo Jijini Dar es Salaam.Picha na Michuzi JR.
Mkurugenzi wa Miundombinu Sekritarieti ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Mapolao Rosemary Makoena akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati...
10 years ago
VijimamboPAZI REUNION YAWEKA HISTORIA HOUSTON, TIMU YA TANZANIA YAIFUNGA GABON 64 KWA 57
11 years ago
Michuzi
Tanzania kushirikiana na ufaransa katika masuala ya mabadiliko ya Tabianchi

10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Kahawa ya Tanzania hatarini kutoweka
9 years ago
StarTV12 Nov
 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
11 years ago
MichuziTanzania yashiriki mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn,Ujerumani