TANZANIA YAWEKA WAZI MIKAKATI KUFANIKISHA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA NISHATI UKANDA WA SADC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) alipowasili kufungua Mkutano huo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere, leo Jijini Dar es Salaam.Picha na Michuzi JR.
Mkurugenzi wa Miundombinu Sekritarieti ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Mapolao Rosemary Makoena akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xfVLhx7eX64/XrT-0V9LHaI/AAAAAAALpdE/VlhmEtybrTMhp0GbMfl4etz9-fcduuybQCLcBGAsYHQ/s72-c/f0482d37-ab23-4abf-9fb8-1917c96f684b.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA WIZARA YA MUUNGANO NA MAZINGIRA YAWEKA MIKAKATI YA PAMOJA KULILINDA BWAWA LA NYERERE MW 2115.
NaFarida Saidy,Morogoro.
Kufuatia athari zilizojitokeza za mafuriko kwa baadhi ya vijiji vya wilaya ya kilombero mkoani Morogoro baada ya maji kufunguliwa katika bwawa la kufua umeme la Kidatu mawaziri wawili wa Nishati Dkt.Medard Kalemani na Mussa Zungu wa Muungano na Mazingira wamefanya ziara ya kukagua madhara yaliyojitokeza katika Wilaya hiyo.
Lengo la ziara hiyo ni kunagalia namna ya kudhibiti uharibufu uliojitokeza katika mabwawa ya kuzalishia umeme ya Mtera na Kidatu,ambapo Waziri wa...
11 years ago
BBCSwahili23 May
Kenya yaweka mikakati ya kuinua utalii
10 years ago
StarTV04 Feb
SMZ yaweka mikakati kuikabili changamoto ya wauguzi.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ipo katika mikakati ya kupunguza idadi ndogo ya wauguzi waliopo kwenye hospitali na vituo vya Afya ili iweze kulingana na wastani wa wagonjwa visiwani humo.
Kwa sasa Muuguzi mmoja anahudumia wodi nzima yenye wagonjwa zaidi ya 40 ambayo ni kinyume cha taratibu za Shirika la Afya Duniani WHO linalotaka muuguzi mmoja ahudumie wagonjwa watano.
Katika mkutano huo mkuu wa 40 wa Jumuiya ya Wauguzi Zanzibar ZANA, Naibu Waziri...
10 years ago
Habarileo15 Sep
CCM yaweka mikakati ya Uchaguzi Serikali Mitaa
KATIKA kuhakikisha kinafanya vyema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimepanga kuzitumia siku za Jumamosi kwa mikutano ya kisiasa katika kata zote za manispaa hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a3Kttx4Y528/XuPnPeHOgUI/AAAAAAALtpw/4NsBjk_SX8w6hPr62klp7brrwWj8lNn3QCLcBGAsYHQ/s72-c/hhh.jpg)
NEC YAWEKA WAZI DAFTARI LA AWALI, ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-a3Kttx4Y528/XuPnPeHOgUI/AAAAAAALtpw/4NsBjk_SX8w6hPr62klp7brrwWj8lNn3QCLcBGAsYHQ/s1600/hhh.jpg)
Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC) kupitia Ofisi ya Afisa Mwandikishaji ambae ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha imesema kuwa itaweka wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura kwa siku nne mfululizo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha pamoja na wawakilishi wa Vyama vya Siasa mkoani Arusha,Afisa Uandikishaji Msaidizi wa Jiji hilo,Misena Bina,alisema daftari litakuwa wazi kuanzia June 17-20, katika vituo vilivyotumika awali wakati wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s72-c/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
TTB YAKUTANA NA MABALOZI KUWEKA MIKAKATI YA KUTANGAZA UTALII, UKANDA WA ASIA, AUSTRALASIA
![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s640/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdnUxUzggFs/XuBfePW5RaI/AAAAAAALtSA/-qQAy6FNGI8mBYi_NyaGVmTKuLy-1-LIwCLcBGAsYHQ/s640/2_Wafanyakazi.jpeg)
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-riEPFVZ86WM/U0IyflRvnMI/AAAAAAABIT0/SFeHlktmXUM/s72-c/4.jpg)
WIZARA YA FEDHA YAWEKA WAZI JINSI ITAKAVYOTEKELEZA MATOKEO MAKUBWA SASA 'BRN'
![](http://3.bp.blogspot.com/-riEPFVZ86WM/U0IyflRvnMI/AAAAAAABIT0/SFeHlktmXUM/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_e2CUUBoKhM/U0Iynkxj-tI/AAAAAAABIUE/Ha-cdP45Ci4/s1600/9.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QoBgEY8dCRo/XvISt8MpjEI/AAAAAAALvFU/-s_LcfS1xz4JtzqVuMmWa2FXlQQnR1VPgCLcBGAsYHQ/s72-c/5-17-2048x1484.jpg)
Dkt.Mwakyembe: SADC Inatambua Mchango wa Wanahabari wa Ukanda Huu wa Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-QoBgEY8dCRo/XvISt8MpjEI/AAAAAAALvFU/-s_LcfS1xz4JtzqVuMmWa2FXlQQnR1VPgCLcBGAsYHQ/s640/5-17-2048x1484.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1B-1-scaled.jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akifuatilia nyimbo za taifa kutoka Tanzania na Nchi wanachama wa SADC muda mfupi kabla ya kufugua Mkutano huo uliofanyika kwa njia ya video ...