NEC YAWEKA WAZI DAFTARI LA AWALI, ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-a3Kttx4Y528/XuPnPeHOgUI/AAAAAAALtpw/4NsBjk_SX8w6hPr62klp7brrwWj8lNn3QCLcBGAsYHQ/s72-c/hhh.jpg)
Na Ashura Mohamed -Arusha
Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC) kupitia Ofisi ya Afisa Mwandikishaji ambae ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha imesema kuwa itaweka wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura kwa siku nne mfululizo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha pamoja na wawakilishi wa Vyama vya Siasa mkoani Arusha,Afisa Uandikishaji Msaidizi wa Jiji hilo,Misena Bina,alisema daftari litakuwa wazi kuanzia June 17-20, katika vituo vilivyotumika awali wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Ufafanuzi kasoro za BVR na uwekaji wazi wa Daftari la awali la Wapiga kura nchini
Baadhi ya mashine za BVR pichani…
Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.
Baada ya kukamilika kwa zoezi la Uboreshaji Tume imekuwa ikichakata (processing) taarifa za Wapiga Kura ili kuweza kuandaa Daftari la Awali la Wapiga Kura, katika maandalizi hayo mifumo imeweza kugundua kasoro mbali mbali ambazo baadhi zimefanyiwa kazi na zingine zinaendelea...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA UMMA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA. Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka […]
The post Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MichuziUFAFANUZI KWA KUHUSU KASORO ZA BVR NA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s72-c/nec.png)
TAARIFA KWA UMMA: UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s640/nec.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s72-c/nec.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s640/nec.png)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Oct
WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura.
Nategemea habari hizi zitawafika Wahusika wakuu wa Vyama vya Vinavounda UKAWA.. Kama sisi no Wazalendo ambao Tuna kiu ya Mabadiliko ya Uongozi katika Serikali. Mara hii tumejitokeza Vijana wengi kutafuta Vichinjio ya Kuiondoa Serikali ya CCM […]
The post WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura. appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
MichuziTANZANIA YAWEKA WAZI MIKAKATI KUFANIKISHA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA NISHATI UKANDA WA SADC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) alipowasili kufungua Mkutano huo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere, leo Jijini Dar es Salaam.Picha na Michuzi JR.
Mkurugenzi wa Miundombinu Sekritarieti ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Mapolao Rosemary Makoena akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-riEPFVZ86WM/U0IyflRvnMI/AAAAAAABIT0/SFeHlktmXUM/s72-c/4.jpg)
WIZARA YA FEDHA YAWEKA WAZI JINSI ITAKAVYOTEKELEZA MATOKEO MAKUBWA SASA 'BRN'
![](http://3.bp.blogspot.com/-riEPFVZ86WM/U0IyflRvnMI/AAAAAAABIT0/SFeHlktmXUM/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_e2CUUBoKhM/U0Iynkxj-tI/AAAAAAABIUE/Ha-cdP45Ci4/s1600/9.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
NEC yaweka msimamo uandikishaji
NA RABIA BAKARITUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haitoongeza muda wa kuandikisha Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo mpya wa BVR, licha ya wanasiasa wengi kupendekeza.Aidha imetoa ruksa kwa vyama vyote vya siasa vinavyohitaji kuweka mawakala kufanya hivyo wakati wa uandikishaji wa daftari hilo.Mapendekezo ya kuongeza muda kutoka siku 14 hadi mwezi au miezi miwili, yalitolewa juzi na viongozi wa juu wa vyama vya siasa, walioshiriki mkutano kati yao na NEC kwa ajili ya kujadili...