Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA UMMA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA. Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka […]
The post Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s72-c/nec.png)
TAARIFA KWA UMMA: UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s640/nec.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s72-c/nec.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s640/nec.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ucNeSo821Uo/Xph5-pLvMOI/AAAAAAABMAM/L9NcHzV_vBA7PVHuwCiw_JS7omceL8_rwCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
UWEKAJI WAZI NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI KUANZA KESHO APRILI 17 KATIKA MIKOA 12
![](https://1.bp.blogspot.com/-ucNeSo821Uo/Xph5-pLvMOI/AAAAAAABMAM/L9NcHzV_vBA7PVHuwCiw_JS7omceL8_rwCLcBGAsYHQ/s400/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
Mwenyekiti wa NEC, Jajia mstaafu Semistocles Kaijage
Na Richard Mwaikenda
UWEKAJI wazi wa Daftari la Awali na Uboreshaji wa Daftari Wapiga Kura Awamu ya Pili, unaanza rasmi kesho Ijumaa 17 Aprili, 2020. na kukamilika Mei 4, 2020 kwa Nchi nzima.
Hayo yametangazwa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage (pichani) wakati wa mkutano na viongozi wa vyama vya siiasa na wadau wengine kwenye Ukumbi wa Mikutano wa...
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Ufafanuzi kasoro za BVR na uwekaji wazi wa Daftari la awali la Wapiga kura nchini
Baadhi ya mashine za BVR pichani…
Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.
Baada ya kukamilika kwa zoezi la Uboreshaji Tume imekuwa ikichakata (processing) taarifa za Wapiga Kura ili kuweza kuandaa Daftari la Awali la Wapiga Kura, katika maandalizi hayo mifumo imeweza kugundua kasoro mbali mbali ambazo baadhi zimefanyiwa kazi na zingine zinaendelea...
9 years ago
MichuziUFAFANUZI KWA KUHUSU KASORO ZA BVR NA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cDJXmRqLCnI/VdD0IGZwevI/AAAAAAAHxtc/3Fm27oyVebk/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
5 years ago
MichuziUHAKIKI TAARIFA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA WAANZA JIJINI DODOMA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TL07x06Iox0/VW-weCY7FCI/AAAAAAAHbz0/KwHYJnX9C7o/s72-c/01.png)
10 years ago
MichuziSEMINA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA VIJANA WA WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA
Viongozi wa vyama vya siasa na Dini wametakiwa kuwashajiisha wafuasi wao kushiriki katika daftari la kudumu la wapiga kura ili kuweza kujikinga na matatizo mbali mbali yanayoweza kujitokeza ikiwemo kokosa haki zao. Amesema Daftari la kudumu la wapiga kura lipo kisheria si kwa matakwa ya kisiasa hivyo viongozi hao wanapaswa kutumia nafasi zao kuwaelimisha wafuasi wao kushiriki kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura linaloendelea...