UHAKIKI TAARIFA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA WAANZA JIJINI DODOMA
KIKONGWE wa miaka 100, Yusufu Alfonso Mkomwa akikabidhiwa kadi yake ya kupigia kura baada ya kuifanyia uhakiki wa taarifa zake kwenye daftari la awalai la wapigakura na kurekebisha taarifa zake katika Kituo cha uhakiki kilichopo Kata ya Viwandani jijini Dodoma jana. Anaemkabidhi kadi hiyo ni Mwandishi Msaidizi Queen Pius. (Picha na NEC).
KIKONGWE wa miaka 100, Yusufu Alfonso Mkomwa akiweka saini katika kadi yake ya kupigia kura baada ya kufanya uhakiki wa taarifa zake kwenye daftari la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/lubuva1.jpg)
UHAKIKI WA TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s72-c/nec.png)
TAARIFA KWA UMMA: UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s640/nec.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s72-c/nec.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qw5VfvCO2yo/VeJvwS3cvcI/AAAAAAABlP4/Y47EbChJnuU/s640/nec.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6RBbNbDFeMw/Xo7LxMClfdI/AAAAAAABL_g/UEw-oL9azFkSUfcvouPCuENDIgPC6f0JwCLcBGAsYHQ/s72-c/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
MWENYEKITI WA NEC, ATANGAZA KUANZA UHAKIKI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6RBbNbDFeMw/Xo7LxMClfdI/AAAAAAABL_g/UEw-oL9azFkSUfcvouPCuENDIgPC6f0JwCLcBGAsYHQ/s640/f2c70339-aa23-4cbc-9db9-7f8aabf8daca.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZIMHE. JAJI WA RUFAA (MST.) SEMISTOCLES KAIJAGE (PICHANI) KWENYE MKUTANO WA TUME NA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE, TAREHE 8 APRILI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri...
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Ufafanuzi kasoro za BVR na uwekaji wazi wa Daftari la awali la Wapiga kura nchini
Baadhi ya mashine za BVR pichani…
Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.
Baada ya kukamilika kwa zoezi la Uboreshaji Tume imekuwa ikichakata (processing) taarifa za Wapiga Kura ili kuweza kuandaa Daftari la Awali la Wapiga Kura, katika maandalizi hayo mifumo imeweza kugundua kasoro mbali mbali ambazo baadhi zimefanyiwa kazi na zingine zinaendelea...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA UMMA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA KATIKA MIKOA YOTE YA UNGUJA NA PEMBA. Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka […]
The post Uwekaji wazi wa daftari la awali la wapiga kura katika mikoa ya Unguja na Pemba appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QMCKznN_Z38/Xkl3exqPJwI/AAAAAAABLtE/v1M-WAZwEkMXAo_jGW2WZiWkfQNndLUUACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA WAANZA DAR,PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QMCKznN_Z38/Xkl3exqPJwI/AAAAAAABLtE/v1M-WAZwEkMXAo_jGW2WZiWkfQNndLUUACLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
WAKAZI wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi
la Uboreshaji wa Daftari Kudumu la Wapiga Kura ulioanza Februari 14 na kumalizika Februari 20 mwaka huu.
Mwito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu,Semistocles Kaijage wakati wa mkutano na Wadau wa Uchaguzi wa Mkoa wa Dar eSalaam hivi karibuni.
"Ninayo furaha sasa kuwafahamisha kuwa maandalizi kwa ajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu...
9 years ago
MichuziUFAFANUZI KWA KUHUSU KASORO ZA BVR NA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA
10 years ago
Michuzi08 Aug
TAARIFA KWA UMMA: KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
07/08/201511/08/20152Pwani na...