UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA WAANZA DAR,PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QMCKznN_Z38/Xkl3exqPJwI/AAAAAAABLtE/v1M-WAZwEkMXAo_jGW2WZiWkfQNndLUUACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Na Richard Mwaikenda
WAKAZI wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi
la Uboreshaji wa Daftari Kudumu la Wapiga Kura ulioanza Februari 14 na kumalizika Februari 20 mwaka huu.
Mwito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu,Semistocles Kaijage wakati wa mkutano na Wadau wa Uchaguzi wa Mkoa wa Dar eSalaam hivi karibuni.
"Ninayo furaha sasa kuwafahamisha kuwa maandalizi kwa ajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zF0ErWmukzY/VY12uK-6GeI/AAAAAAABiUM/fpp9ymNB35U/s72-c/20150626085239.jpg)
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TL07x06Iox0/VW-weCY7FCI/AAAAAAAHbz0/KwHYJnX9C7o/s72-c/01.png)
10 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s72-c/NEC(47).jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s1600/NEC(47).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
NEC yajipanga uboreshaji daftari la wapiga kura
“NINAPENDA niwahakikishie ninyi wanahabari na umma wa Watanzania kuwa kazi hii itafanyika kwa uangalifu mkubwa na inatarajiwa kukamilika kwa muda uliopangwa”. Hiyo ni kauli ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi...
10 years ago
Michuzi08 Mar
UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA MKOANI NJOMBE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xhkfvpg1GLA/VXbAFXNAQrI/AAAAAAAHdTg/-vMv35KBwEE/s72-c/01.jpg)
Morogoro yaanza maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura
Mkoa wa Morogoro umeanza maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu.
Maandalizi hayo yameanza jana kwa semina ya siku mbili inayotolewa kwa waratibu wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura katika ngazi ya Mkoa na Wilaya za Mkoa wa Morogoro.Semina hiyo inalenga kutoa Elimu itakayowawezesha kutekeleza jukumu hilo katika...