SMZ yaweka mikakati kuikabili changamoto ya wauguzi.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ipo katika mikakati ya kupunguza idadi ndogo ya wauguzi waliopo kwenye hospitali na vituo vya Afya ili iweze kulingana na wastani wa wagonjwa visiwani humo.
Kwa sasa Muuguzi mmoja anahudumia wodi nzima yenye wagonjwa zaidi ya 40 ambayo ni kinyume cha taratibu za Shirika la Afya Duniani WHO linalotaka muuguzi mmoja ahudumie wagonjwa watano.
Katika mkutano huo mkuu wa 40 wa Jumuiya ya Wauguzi Zanzibar ZANA, Naibu Waziri...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Mkwasa sasa aja na mikakati kuikabili Algeria
11 years ago
BBCSwahili23 May
Kenya yaweka mikakati ya kuinua utalii
10 years ago
Habarileo15 Sep
CCM yaweka mikakati ya Uchaguzi Serikali Mitaa
KATIKA kuhakikisha kinafanya vyema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimepanga kuzitumia siku za Jumamosi kwa mikutano ya kisiasa katika kata zote za manispaa hiyo.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Changamoto kwa wauguzi
5 years ago
MichuziTANZANIA YAWEKA WAZI MIKAKATI KUFANIKISHA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA NISHATI UKANDA WA SADC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) alipowasili kufungua Mkutano huo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere, leo Jijini Dar es Salaam.Picha na Michuzi JR.
Mkurugenzi wa Miundombinu Sekritarieti ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Mapolao Rosemary Makoena akizungumza katika Mkutano wa Wataalam wa Nishati...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fXU_0jQNpPk/VDZOGZAxwyI/AAAAAAACsgA/47WgSB-ZjZs/s72-c/WK1a.jpg)
Serikali yaweka Mkakati kupunguza changamoto ya ajira kwa Vijana
![](http://4.bp.blogspot.com/-fXU_0jQNpPk/VDZOGZAxwyI/AAAAAAACsgA/47WgSB-ZjZs/s1600/WK1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1LDh9hALUXM/VDZOGbXkiFI/AAAAAAACsgI/Hybhy2Q-gRI/s1600/WK1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PTCMk0rTxFI/VDZOGcwJA6I/AAAAAAACsgE/Pvm2Ng4glAM/s1600/WK1c.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xfVLhx7eX64/XrT-0V9LHaI/AAAAAAALpdE/VlhmEtybrTMhp0GbMfl4etz9-fcduuybQCLcBGAsYHQ/s72-c/f0482d37-ab23-4abf-9fb8-1917c96f684b.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA WIZARA YA MUUNGANO NA MAZINGIRA YAWEKA MIKAKATI YA PAMOJA KULILINDA BWAWA LA NYERERE MW 2115.
NaFarida Saidy,Morogoro.
Kufuatia athari zilizojitokeza za mafuriko kwa baadhi ya vijiji vya wilaya ya kilombero mkoani Morogoro baada ya maji kufunguliwa katika bwawa la kufua umeme la Kidatu mawaziri wawili wa Nishati Dkt.Medard Kalemani na Mussa Zungu wa Muungano na Mazingira wamefanya ziara ya kukagua madhara yaliyojitokeza katika Wilaya hiyo.
Lengo la ziara hiyo ni kunagalia namna ya kudhibiti uharibufu uliojitokeza katika mabwawa ya kuzalishia umeme ya Mtera na Kidatu,ambapo Waziri wa...
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
Kupitia kauli mbiu ya mwaka 2015, tuangalie changamoto za sekta ya utalii na kutafuta mikakati ya kuzikabili
Ni siku chache tu zimepita, Tanzania imesheherekea siku ya utalii duniani kwa kauli mbiu “Mamilioni ya watalii ni mamilioni ya fursa” ambapo kauli mbiu hii imekuwa na lengo zuri la kuweka vipaumbele vya kimaendeleo katika sekta ya utalii Tanzania.
Tanzania, kati ya nchi za Umoja wa Mataifa, huadhimisha siku kuu hii kila tarehe 27 ya mwezi Septemba ya kila mwaka, kwa lengo kubwa la kuhamasisha uelewa juu ya sekta ya utalii na mchango wake katika jamii.
Ban Ki-moon, Katibu mkuu wa Umoja wa...