Uturuki kufanya mabadiliko ya mawaziri
Waziri mkuu wa Uturuk Recep Tayyip Erdogan ametangaza kufanyika mabadiliko makubwa katika baraza la mawaziri nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Marekani na Uturuki kufanya mazungumzo.
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Mawaziri wafanyiwa mabadiliko Sudan
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Kenyatta alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi
10 years ago
StarTV24 Jan
Rais Kikwete afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri.
Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.
Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.
Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.
Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gBpBKzuJkxg/UzWi99axNLI/AAAAAAAFXC0/1-e_p57UPL8/s72-c/unnamed+(58).jpg)
JUST IN: KAMPUNI KUBWA ZA UJEZI ZA UTURUKI ZAVUTIWA KUFANYA KAZI TANZANIA
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko
RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa
Joseph Mihangwa