Mawaziri wafanyiwa mabadiliko Sudan
Rais wa Sudan Omar El Bashiri amewabadilisha mawaziri wake wa Ulinzi,mafuta na maswala ya kigeni katika mabadiliko makubwa tangu uchaguzi wa mwezi Aprili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Ufalme wa Saudia wafanyiwa mabadiliko
10 years ago
StarTV01 Jul
Wasichana wafanyiwa ukatili Sudan Kusini
Ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa Wanajeshi wa Sudan Kusini waliwabaka na kisha kuwachoma moto wasichana wakiwa hai majumbani mwao wakati wa operasheni mpya ya kikatili iliyofanywa hivi karibuni.
![Flüchtlinge im Südsudan](http://www.dw.com/image/0,,18446618_303,00.jpg)
Wachunguzi wa haki za binaadamu kutoka Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini – UNMISS, wameonya kuhusu kufanyika “matukio mengi ya ukiukaji wa haki za binaadamu” katika ripoti yao iliyowashirikisha waathiriwa 115, na mashuhuda kutoka jimbo la kaskazini...
5 years ago
Habarileo16 Feb
Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri
Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Uturuki kufanya mabadiliko ya mawaziri
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Kenyatta alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri
10 years ago
StarTV24 Jan
Rais Kikwete afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri.
Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.
Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.
Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.
Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko
RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa
Joseph Mihangwa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s72-c/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
Rais Kikwete afanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri
![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s640/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
Hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Ametangaza mabadiliko katika baraza lake la Mawaziri
Rais Kikwete amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano. Tangazo hilo lililotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika Ikulu ya Rais Balozi
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa Waziri wa Nishati na madini Prof Sospeter Muhongo ambae amejiuzulu mapema leo pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s72-c/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: RAIS KIKWETE ATANGAZA MABADILIKO MADOGO YA BARAZA LA MAWAZIRI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-pK01FWgahDc/VMO9JMHl5yI/AAAAAAAG_WI/hNP5zn1UUvY/s1600/WAZIRI%2BLEO0.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametangaza mabadiliko madogo katika Baraza lake la Mawaziri,ambalo Ameliapisha jioni hii Ikulu,Jijini Dar es Salaam.
Akitangaza uteuzi huo muda mchache kabla ya Mawaziri hao kuapishwa, Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue amesema uteuzi huo unahusu pia...