Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenyatta alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri kufuatia shinikizo ya uma kwamba idadi kubwa ya mawaziri wake ni wafisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Habarileo

Mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri

Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri.

 

10 years ago

StarTV

Rais Kikwete afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri.

Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.

Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.

Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.

Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.

Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi...

 

9 years ago

Raia Mwema

Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko

RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri


Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue akiongea na vyombo vya habari jioni hii.
Hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Ametangaza mabadiliko katika baraza lake la Mawaziri
Rais Kikwete amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano. Tangazo hilo lililotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika Ikulu ya Rais Balozi 
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa Waziri wa Nishati na madini Prof Sospeter Muhongo ambae amejiuzulu mapema leo pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ....: RAIS KIKWETE ATANGAZA MABADILIKO MADOGO YA BARAZA LA MAWAZIRI JIONI HII

Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akizungumza na vyombo vya habari jioni hii wakati akitangaza mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri,Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo ametangaza mabadiliko madogo katika Baraza lake la Mawaziri,ambalo Ameliapisha jioni hii Ikulu,Jijini Dar es Salaam.
Akitangaza uteuzi huo muda mchache kabla ya Mawaziri hao kuapishwa, Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue amesema uteuzi huo unahusu pia...

 

10 years ago

Mwananchi

Baraza la Kenyatta na jicho la kikabila

Wamasai walirukaruka huku makanisa na mashirika mengine wakionyesha kutoridhishwa na matukio ya wiki moja iliyopita katika ulingo wa kisiasa

 

11 years ago

BBCSwahili

Uturuki kufanya mabadiliko ya mawaziri

Waziri mkuu wa Uturuk Recep Tayyip Erdogan ametangaza kufanyika mabadiliko makubwa katika baraza la mawaziri nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri wafanyiwa mabadiliko Sudan

Rais wa Sudan Omar El Bashiri amewabadilisha mawaziri wake wa Ulinzi,mafuta na maswala ya kigeni katika mabadiliko makubwa tangu uchaguzi wa mwezi Aprili.

 

9 years ago

GPL

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

TAIFA liko katika mkao wa kusubiri kuapishwa kwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli ambaye Alhamisi iliyopita alitangazwa kuwa mshindi wa kinyang’anyiro cha urais dhidi ya wenzake saba lakini tayari Wabongo wanaumiza vichwa kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri la Magufuli. Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli.  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (Nec), ilimtangaza Dk. Magufuli kuwa mshindi mbele...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani