Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza la Kenyatta na jicho la kikabila

Wamasai walirukaruka huku makanisa na mashirika mengine wakionyesha kutoridhishwa na matukio ya wiki moja iliyopita katika ulingo wa kisiasa

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kenyatta alifanyia mabadiliko baraza la mawaziri

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri kufuatia shinikizo ya uma kwamba idadi kubwa ya mawaziri wake ni wafisadi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini:Mauaji ya kikabila Bentiu

Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyopinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa misingi ya ukabila vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vya kikabila vyatokota Somalia

Takriban watu 7 wameuawa nchini Somalia katika vita vya kikabila mkoa wa Galgaduud, katikati mwa Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita vya kikabila:Watu 45 wauawa Nigeria

Takriban watu 45 wameuawa kwenye mapambano ya kikabila katika jimbo la Benue, katikati mwa Nigeria.

 

9 years ago

GPL

JK AKUTANA NA UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA MZEE JOMO KENYATTA‏

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...

 

9 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA

Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...

 

10 years ago

Mwananchi

Aina za ugonjwa wa mtoto wa jicho

Wiki hii kwenye makala yetu ninakuletea sehemu ya pili ya maelezo yangu kuhusiana na maradhi ya mtoto wa jicho (cataract). Leo hii tunaangalia aina za maradhi haya, vipimo vyake, matibabu yake na namna ya kujikinga na maradhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jicho kumtambua mpiga kura

TUME ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) itatumia vifaa vya kisasa vya kumtambua mpiga kura aliyepoteza kitambulisho kwa kutumia mboni ya jicho lake, wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Hayo yameelezwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani