Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aina za ugonjwa wa mtoto wa jicho

Wiki hii kwenye makala yetu ninakuletea sehemu ya pili ya maelezo yangu kuhusiana na maradhi ya mtoto wa jicho (cataract). Leo hii tunaangalia aina za maradhi haya, vipimo vyake, matibabu yake na namna ya kujikinga na maradhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mwinyi azindua upasuaji wa mtoto wa jicho Mkuranga

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa utoaji wa huduma za jamii na kiuchumi kama vile afya elimu maji na ajira bado ni changamoto kubwa kwa Watanzania wengi hasa upande wa afya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi ugonjwa usio wa kawaida aina ya kawasaki unavyoathiri watoto

"Hilo halistahili kufanya wazazi wasiwaruhusu watoto kutoka nje."

 

10 years ago

GPL

MASKINI! UGONJWA WA FIGO UNAVYOMTESA MTOTO HUYU!

Stori:   Imelda Mtema
Mtoto Careen Mpombo (4) (pichani), mkazi wa  Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, yuko katika mateso makali kufuatia kusumbuliwa na figo moja ambayo haifanyi kazi. Mtoto Careen anayesumbuliwa na figo moja ambayo haifanyi kazi. Licha ya kuugua figo, mtoto huyo pia ana ugonjwa wa mafindofindo (Tonsillitis) unaomfanya akose raha kutokana kuwa na maumivu makali yanayosababisha ashindwe kula.
...

 

11 years ago

Mwananchi

Ugonjwa wa ajabu wamtesa mtoto kwa miaka sita

Ananiambia tatizo lilianzia pale alipopata jipu kwenye kwapa la mkono wake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Magufuli amesesema mtoto wake aliugua ugonjwa wa Covid-19 na kupona

Rais wa Tanzania John Magufuli amesema kuwa idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona imepungua kwa kiasi kikubwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Familia inayodai hofu ya ugonjwa wa corona kulisababisha kifo cha mtoto wao.

Familia inayodai hofu ya ugonjwa wa corona kulisababisha kifo cha mtoto wao.

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jicho kumtambua mpiga kura

TUME ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) itatumia vifaa vya kisasa vya kumtambua mpiga kura aliyepoteza kitambulisho kwa kutumia mboni ya jicho lake, wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Hayo yameelezwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani