Mwinyi azindua upasuaji wa mtoto wa jicho Mkuranga
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa utoaji wa huduma za jamii na kiuchumi kama vile afya elimu maji na ajira bado ni changamoto kubwa kwa Watanzania wengi hasa upande wa afya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Aina za ugonjwa wa mtoto wa jicho
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Dk. Mwinyi azindua kampuni SumaJKT
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, amezindua Kampuni ya Ulinzi ya Suma JKT huku akiwaahidi kuwasaidia kuondoa tatizo sugu la ukusanyaji wa madeni. Akizungumza katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GfJKbi52mQA/U6Fk9VgjjdI/AAAAAAAFrdY/Ub8cS4wCLGc/s72-c/Untitled7.png)
SIKU YA MTOTO WA AFRIKA ILIVYOADHIMISHWA WILAYANI MKURANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GfJKbi52mQA/U6Fk9VgjjdI/AAAAAAAFrdY/Ub8cS4wCLGc/s1600/Untitled7.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4IqxnJzTqm0/U6FiQftvK-I/AAAAAAAFrcE/S4oBjHyA4Xc/s1600/Untitled14.png)
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Mwinyi azindua kampuni ya vifaa vya ujenzi, kilimo
9 years ago
StarTV11 Nov
Mwinyi azindua kiwanda cha  zana za kilimo, ujenzi
Rais mstaafu wa awamu ya Pili Ally Hassan Mwinyi amezindua kiwanda cha kuuza dhana bora za kilimo na ujenzi zitakazokuwa zinauzwa hapa nchini kwenye Kiwanda cha AVIC-SHANTUI Tanzania Limited kitakachomilikiwa na ndugu na rafiki wa muda mrefu wa Tanzania kutoka China.
Matarajio ya baadaye ya Kiwanda hicho ni kuzalisha bidhaa hapa hapa nchini kwa kutumia chuma kutengeneza dhana mbalimbali za Kilimo pamoja na vifaa vya ujenzi hali itakayochangia kukuza uchumi wa Taifa.
Rais Mwinyi amewataka...
9 years ago
StarTV22 Dec
Mwinyi azindua maabara ya utafiti wa Kutambua Sampuli Ya Vinasaba
Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amezindua maabara ya utafiti wa Vinasaba itakayoiwezesha Tanzania kubaini magonjwa na kuyatibu na hatimaye kupunguza gharama za kusafirisha sampuli kwenda nje ya nchi kwaajili ya uchunguzi.
Tanzania inakua ya pili kwenye nchi za Afrika kuwa na maabara hiyo ya kimataifa baada ya Afrika Kusini na hivyo kunufaika zaidi kupitia nchi nyingine kuleta vinasaba vyao nchini kwajili ya uchunguzi.
Vinasaba ni chembechembe zilizopo kwenye mwili wa...
11 years ago
MichuziMZEE MWINYI AZINDUA MPANGO ENDELEVU KWA WAKULIMA
10 years ago
Habarileo05 Jan
Mtoto ahitaji mil.13/- kufanyiwa upasuaji
MTOTO Riziki Massawe (13) wa kijiji cha Mkalama wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro anahitaji msaada wa Sh milioni 12.5 kwa ajili ya matibabu na upasuaji mkubwa wa moyo wake.
11 years ago
GPLMZEE MWINYI AZINDUA MPANGO ENDELEVU KWA WAKULIMA