Mtoto ahitaji mil.13/- kufanyiwa upasuaji
MTOTO Riziki Massawe (13) wa kijiji cha Mkalama wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro anahitaji msaada wa Sh milioni 12.5 kwa ajili ya matibabu na upasuaji mkubwa wa moyo wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K4UzZoI6JDy3gRh66E3byQyaSDtb7WxyLJiIwvA7r2OVXRuVcq*tNVp3Ts6-ShyvpiFsD3gqKCer6OolGFlff5Ifg8CEWTXk/3dce9b301f3b11e5b4dc8142f4aab823_CaitlynJenner.jpg?width=650)
CAITLYN KUFANYIWA UPASUAJI WA SAUTI
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Luke Shaw kufanyiwa upasuaji
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_3HwQT2HIrI/VXheEWRuqKI/AAAAAAAHegs/vTzXBXSOViY/s72-c/20150610084807.jpg)
wagonjwa wa vikope kufanyiwa upasuaji
Zaidi ya wagonjwa elfu arobaini wanaougua ugonjwa wa vikope unaotokana na trakoma wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho katika mikoa sita nchini Tanzania kwa muda wa miaka mitano.
Hayo yamezungumzwa jana jijini hapa na Mratibu wa Mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele dkt. Upendo Mwingira wakati akiwasilisha mada kwenye mkutano wa nne wa kazi kati ya wizara na wadau wanaofadhili mpango huo Upasuaji huo unafadhiliwa na...
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Nyota wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji
9 years ago
Bongo504 Jan
Mshambuliaji wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji
![151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City Jamie Vardy atakuwa nnje ya wa uwanja kwa wiki mbili baada ya kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa timu ya taifa Uingereza amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mtoki wake, kituo cha redio cha BBC cha Leicester kimeripoti.
Vardy amekuwa na msimu mzuri sana hadi saivi ana mabao 15 aliyoyafunga Ligi ya Premia yamesaidia Bweha hao kupanda hadi nambari mbili ligini.
Mchezaji huyo wa umri wa miaka 28 amechezea klabu hiyo mechi 24 msimu huu.
Vardy alicheza...
9 years ago
StarTV26 Dec
Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza
Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.
Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.
mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Bingwa wa Tenisi Federer kufanyiwa upasuaji kwenye goti lake N