Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jicho kumtambua mpiga kura

TUME ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) itatumia vifaa vya kisasa vya kumtambua mpiga kura aliyepoteza kitambulisho kwa kutumia mboni ya jicho lake, wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Hayo yameelezwa na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wahimiza elimu ya mpiga kura

VIONGOZI wa vyama vya siasa , Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) , Jeshi la Polisi na serikali vimetakiwa kutoa elimu ya mpiga kura kuongeza uelewa kwa wananchi kuimarisha amani, maelewano, utulivu wa kisiasa na uwajibikaji siku ya uchaguzi mkuu Oktoba 25.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mpiga kura wa kwanza Kinondoni Tanzania

Bwana huyu alikuwa ndiye mpiga kura wa kwanza kabisa eneo la Kinondoni, Tanzania. Anasimulia.

 

10 years ago

GPL

KILA MMOJA AFAHAMU HAKI NA WAJIBU WA MPIGA KURA

Jaji Damian Lubuva. NIMSHUKURU Mungu kwa kuniweka salama na kuja kuzungumza nanyi kwa njia hii ya maandishi. Mchakato wa uchuguzi wa viongozi kuanzia rais, wabunge na madiwani kwa njia ya kidemokrasia hufanywa kwa njia ya kupiga kura.Huu ndiyo wakati ambao kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi hushiriki kuchagua viongozi wa kushika madaraka ya dola na uakilishi kwa kipindi cha miaka 5 kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Amasely & Masia,Feysaly – Mpiga Kura

Video mpya ya wimbo unaitwa “Mpiga Kura” wasanii ni Amasely na Masia,Feysaly ambao wanahamasisha kupiga kura kwa amani. Video imeongozwa na Bwana Mtui Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS SAMIA AHAKIKI TAARIFA ZAKE ZA MPIGA KURA


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihakiki taarifa zake za mpiga kura kwenye Daftari la Wapiga kura katika Kituo cha Shule ya Sekondari  SOS Wilaya ya Magharibi (B) Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo Febuari 27,2020. katikati ni Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi Zanzibar  ZEC Thabit Idarous Faina. Afisa wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Jamii Zanzibar Khatib Said Bakari akimkabidhi Kitambulisho cha Mzanzibari Mkazi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

CHADEMA yawataka Wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura

IMG_7601

Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa  chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika  hotel ya New Arusha jijini humo.

IMG_7568

Viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wakifanya sala kabla ya kuanza  mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini.

Picture 003

Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari.

 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo-Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa  chama chao kimejipanga...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni

https://www.facebook.com/voiceofzanzibar?fref=ts Afisa wa Tume juma chum YADAI watu wafungue kesi ya malalamiko mahakamani Mtu mmoja akamatwa na vitambulisho haramu ambae ni katibu wa CCM wa tawi akivigawa kwa watu tume wanasema wapewe wenyewe wapige kura kisha […]

The post Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani