Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIBALI KWA ASASI ZA KIRAIA KUSHIRIKI KUTOA ELIMU YA MPIGA KURA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Asasi za kiraia wekezeni katika elimu ya uraia’

ASASI za kiraia zimetakiwa kuwekeza katika elimu ya uraia na kuelimisha jamii kuhusu haki zao hasa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

Habarileo

Wahimiza elimu ya mpiga kura

VIONGOZI wa vyama vya siasa , Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) , Jeshi la Polisi na serikali vimetakiwa kutoa elimu ya mpiga kura kuongeza uelewa kwa wananchi kuimarisha amani, maelewano, utulivu wa kisiasa na uwajibikaji siku ya uchaguzi mkuu Oktoba 25.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi

Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar akifunga semina ya asasi za kiraia Friday, October 9, 2015 Asasi za kiraia nchini zimeshauriwa kuchukua jitihada binafsi kutoa elimu ya uraia na elimu ya wapiga kura kwa jamii […]

The post ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Migiro akabidhi Katiba inayopendekezwa kwa taasisi za kidini, asasi za kiraia na walemavu

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba Inayopendekezwa yenye maandishi yaliyokuzwa mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro (kulia) katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro, Naibu wake Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Migiro akabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa walemavu, taasisi za kidni na asasi za kiraia

WKS Kundecha

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akimkabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa mwakilishi wa Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislam Sheikh Mussa Kundecha katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). (Picha: Farida Khalfan, Wizara ya Katiba na Sheria).

WKS - Albino

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba...

 

10 years ago

Dewji Blog

Forum CC yakabidhi mapendekezo ya Asasi za kiraia kwa Ofisi ya Makamu wa Rais kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi

IMG_6881

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Binilith Sanato Mhenge (kusshoto) akipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia Nchi kutoka kwa mwenyekiti wa bodi wa Forum CC Euster Kibona ofisini kwake jijini Dar es salaam.

IMG_6880

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Naibu wake Ummy Ali Mwalimu wakimsikiliza Meneja mwezeshaji wa Taasisi ya Forum CC Rebeca Muna wakati wakipokea mapendekezo ya asasi za kiraia kuelekea mkutano wa kimataifa wa Tabia...

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZAANZISHA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUNUNUA VIFAA VYA WAHUDUMU WA AFYA KUJIKINGA NA CORONA


Charles James, Michuzi TV

Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona, Asasi za Kiraia zimeanzisha kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia mapambano hayo.

Kampeni hiyo imelenga kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwanunulia vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona wahudumu wa afya nchini.

Akizungumzia kampeni hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa AZAKI, Francis Kiwanga amesema wao kama Asasi za Kiraia wameguswa na mapambano ya ugonjwa huo hivyo wakaona ni...

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZAUNGANA WILAYANI ILALA KWA AJILI YA KUJENGA NGUVU YA PAMOJA ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI

 Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii

KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo  zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.

Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na  kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi   na uwezo wa kuripoti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani