MAKAMU WA RAIS SAMIA AHAKIKI TAARIFA ZAKE ZA MPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vsItol2AgjI/Xlelrr4BVpI/AAAAAAALfqQ/r_qQHeZwbb8KVJnXUP2nVqpVglfkLjC-gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihakiki taarifa zake za mpiga kura kwenye Daftari la Wapiga kura katika Kituo cha Shule ya Sekondari SOS Wilaya ya Magharibi (B) Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo Febuari 27,2020. katikati ni Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Thabit Idarous Faina.
Afisa wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Jamii Zanzibar Khatib Said Bakari akimkabidhi Kitambulisho cha Mzanzibari Mkazi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rVHmp51aOKw/Xlo1frea8eI/AAAAAAALgDM/ZhlqgOFIqjgxQ50Wg_xAQ41_3oD7eRP8ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK.SHEIN AHAKIKI TAARIFA ZAKE KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-rVHmp51aOKw/Xlo1frea8eI/AAAAAAALgDM/ZhlqgOFIqjgxQ50Wg_xAQ41_3oD7eRP8ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-v_PkN4UC6MY/Xlo1hUGrJwI/AAAAAAALgDU/YX-Wu0MvR08b_qxQvSf2A46cwtfpL4fMQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mMDpQH1hNt8/Vc3vwR4ov6I/AAAAAAAABVc/GvLO53qt0I4/s72-c/MUDA%2BWA%2BNYONGEZA%2B-%2BKUHAKIKI%2BTAARIFA%2BZAO%2B%2BKATIKA%2BDAFTARI%2BLAKUDUMU%2BLA%2BMPIGA%2BKURA%2BJPG.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IVnGMT0zVZI/VcDC7bhvw_I/AAAAAAABTHw/zqofe4NqvMY/s72-c/1.png)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Makamu wa Rais Mh.Samia Suluhu ashiriki msiba wa mjukuu Rais Dk. Magufuli!
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mjukuu wa Mhe. Rais Dkt. John Magufuli, Maryfaustna Mlyambina, aliyefariki Nov 11, 2015. Shughuli za kuagwa mwili wa marehemu zilifanyika leo Nov 13, 2015 Kimara jijini Dar es Salaam, na baadaye msiba huo kusafirishwa kuelekea Mkoani Mwanza kwa maziko. Picha na OMR.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s8NjmLI7QUU/VkXeIXXDELI/AAAAAAAIFuU/tle8iTWY3FA/s72-c/1B.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU ASHIRIKI MSIBA WA MJUKUU WA RAIS MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-s8NjmLI7QUU/VkXeIXXDELI/AAAAAAAIFuU/tle8iTWY3FA/s640/1B.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0GIBQtNE0HA/VkXeKNc582I/AAAAAAAIFuc/uD_g77BJtig/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-1536x864.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s400/F87A4658-2-1536x864.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGJ4d8t1fvA/XuzPqflRA_I/AAAAAAAAz28/m_D2vvNAJ3Y1jKM40IHqmpZqR0LREiujQCLcBGAsYHQ/s400/F87A4665-2-1536x812.jpg)